Katibu Mkuu CCM Taifa na Sekretarieti ya CCM Taifa kufanya ziara mkoa wa Simiyu

CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,

Daaah wonders shall never end πŸ˜›πŸ˜›
 
CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,

Daaah wonders shall never end [emoji14][emoji14]
Furahi Basi,[emoji1][emoji1][emoji1]
 
CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,

Daaah wonders shall never end πŸ˜›πŸ˜›

Wakijaribu kufanya mkutano wazee wa PGO na bendera nyekundu mabomu ya machozi au nasema uongo ndugu zangu
 
CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,

Daaah wonders shall never end [emoji14][emoji14]
Kichwa yak imejaa mav
 
CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,

Daaah wonders shall never end [emoji14][emoji14]
Wajanja wanachanja mbuga kuimarisha taasisi yao ili waendelee kula maisha mazezeta hapa JF yanashabikia kwa kuinanga Chadema huku yakizidi kuwa masikini siku hadi siku!

Ujinga ni ugonjwa mkubwa sana![emoji26]
 
CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,

Daaah wonders shall never end πŸ˜›πŸ˜›
Hawana Agenda ndio sababu, Kitakachotokea kwao ni agenda kwa wakati huo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…