Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Furahi Basi,[emoji1][emoji1][emoji1]CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,
Daaah wonders shall never end [emoji14][emoji14]
Mtoto wa MbuFurahi Basi,[emoji1][emoji1][emoji1]
CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,
Daaah wonders shall never end ππ
Kichwa yak imejaa mavCCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,
Daaah wonders shall never end [emoji14][emoji14]
Kwani wamefanya lini?Wakijaribu kufanya mkutano wazee wa PGO na bendera nyekundu mabomu ya machozi au nasema uongo ndugu zangu
Wajanja wanachanja mbuga kuimarisha taasisi yao ili waendelee kula maisha mazezeta hapa JF yanashabikia kwa kuinanga Chadema huku yakizidi kuwa masikini siku hadi siku!CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,
Daaah wonders shall never end [emoji14][emoji14]
Hawana Agenda ndio sababu, Kitakachotokea kwao ni agenda kwa wakati huo,CCM inachanja mbuga karibu kila mkoa ila CHADEMA wote wako kwa Mbowe halafu Uchaguzi ukija mnasema kura zimeibwa,
Daaah wonders shall never end ππ
Wapi wamejaribu?Wakijaribu kufanya mkutano wazee wa PGO na bendera nyekundu mabomu ya machozi au nasema uongo ndugu zangu
πππHuyu gaidi makengeza? Ndo hutaki aongelewe?
Hao hawana pesa, gharama za mikutano ni kubwaWakijaribu kufanya mkutano wazee wa PGO na bendera nyekundu mabomu ya machozi au nasema uongo ndugu zangu
Chapeni kazi,
Hawa wapuuzi wana tafuta ada pekee za watoto wao
Acha matusi,Hawa wapuuzi wana tafuta ada pekee za watoto wao
Ada ni tusi?Acha matusi,
Soma tena ulichoandikaAda ni tusi?
Tulia wewe mdogo ake na NdugaiSoma tena ulichoandika