Katibu mkuu CHADEMA atoa Tamko kuhusu Freeman Mbowe na wenzake

Katibu mkuu CHADEMA atoa Tamko kuhusu Freeman Mbowe na wenzake

CHADEMA WANAJAZANA UJINGA SANA. NO CASE TO ANSWER WAKATI TAYARI JAJI KASEMA WANA KESI YA KUJIBU?

HAYA MAMBO HAYAHITAJI USHABIKI WA KITOTO, LET THEM BE MATURED NA WAJIPANGE KUJIBU HIZO KESI.
 
Tunachotakiwa kufahamu ni kwamba anayesikiliza hii kesi anaitwa jaji lakini siyo jaji. Huyu ni miongoni mwa maafisa qa TISS walioingizwa na marehemu kwenye mahakama.

Hakuna chochote atakachoamua kilicho kinyume na maelekezo ya ikulu. Anachofanya, tujue ndicho walichokubaliana kufanya.

Ikulu imeshtaki, ikulu inatoa ushahidi, ikulu ndiyo inayoamua. Mawakili wa utetezi endeleeni kufanya kazi ili kudhihirisha uovu wa ikulu, lakini siyo kutarajia huyu jaji eti atoe hukumu kwa kutegemea hoja zenu.
 
Tunachotakiwa kufahamu ni kwamba anayesikiliza hii kesi anaitwa jaji lakini siyo jaji. Huyu ni miongoni mwa maafisa qa TISS walioingizwa na marehemu kwenye mahakama.

Hakuna chochote atakachoamua kilicho kinyume na maelekezo ya ikulu. Anachofanya, tujue ndicho walichokubaliana kufanya.

Ikulu imeshtaki, ikulu inatoa ushahidi, ikulu ndiyo inayoamua. Mawakili wa utetezi endeleeni kufanya kazi ili kudhihirisha uovu wa ikulu, lakini siyo kutarajia huyu jaji eti atoe hukumu kwa kutegemea hoja zenu.
ukweli mchungu
 
Tunachotakiwa kufahamu ni kwamba anayesikiliza hii kesi anaitwa jaji lakini siyo jaji. Huyu ni miongoni mwa maafisa qa TISS walioingizwa na marehemu kwenye mahakama.

Hakuna chochote atakachoamua kilicho kinyume na maelekezo ya ikulu. Anachofanya, tujue ndicho walichokubaliana kufanya.

Ikulu imeshtaki, ikulu inatoa ushahidi, ikulu ndiyo inayoamua. Mawakili wa utetezi endeleeni kufanya kazi ili kudhihirisha uovu wa ikulu, lakini siyo kutarajia huyu jaji eti atoe hukumu kwa kutegemea hoja zenu.
Kwa hiyo Marehemu ndio anatoa maagizo kuhusu hii kesi?
 
Mbowe angeshauriwa akae kimya.
Asijitetee wala asijibu kitu mahakamani,wala asikubali kumpigia magoti Samia.
Watimize wanachotaka.
 
Uamuzi huu uwe chachu ya kupigania katiba mpya for the better of our kids.( future of our nation).

Tunakoelekea ni kubaya saana, watu 2 ama 3 kuamua hatma ya taifa kama watakavyo wao - hapana hapana.
 


====

THIS IS TO LOW
1646547497758.png
 
Tunachotakiwa kufahamu ni kwamba anayesikiliza hii kesi anaitwa jaji lakini siyo jaji. Huyu ni miongoni mwa maafisa qa TISS walioingizwa na marehemu kwenye mahakama.

Hakuna chochote atakachoamua kilicho kinyume na maelekezo ya ikulu. Anachofanya, tujue ndicho walichokubaliana kufanya.

Ikulu imeshtaki, ikulu inatoa ushahidi, ikulu ndiyo inayoamua. Mawakili wa utetezi endeleeni kufanya kazi ili kudhihirisha uovu wa ikulu, lakini siyo kutarajia huyu jaji eti atoe hukumu kwa kutegemea hoja zenu.
Sawa na kwa namna hiyo hiyo Mbowe si Mwenyekiti bali ni mmiliki wa CHADEMA na Gaidi
 
Back
Top Bottom