Katibu Mkuu CUF afanya ziara TAWLA (Chama cha wanawake wanasheria)

Katibu Mkuu CUF afanya ziara TAWLA (Chama cha wanawake wanasheria)

Boveta

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2019
Posts
3,174
Reaction score
3,804
Katibu mkuu wa chama cha wananchi-cuf madam Husna Mohamed Abdallah leo jumanne tarehe 11 February 2025 alifanya ziara chama cha wanasheria wanawake Ilala Dar-es-salaam,katika ziara hiyo mbali na kujitambulisha lakini alipata nafasi ya kujadiliana mambo mbali mbali.
 

Attachments

  • IMG-20250211-WA0287.jpg
    IMG-20250211-WA0287.jpg
    42.8 KB · Views: 1
  • IMG-20250211-WA0284.jpg
    IMG-20250211-WA0284.jpg
    41.4 KB · Views: 1
  • IMG-20250211-WA0286.jpg
    IMG-20250211-WA0286.jpg
    70 KB · Views: 1
Picha nashindwa kuweka...option inanipeleka sehemu nyingine kabisa
 
Kaenda kujitambulisha au kuuza sura? Samia alienda chama cha wanasheria Tanganyika TLS akawabidhi gari la milioni 400 kwa kazi za chama chao

Yeye katoa nini?
 
Kaenda kujitambulisha au kuuza sura? Samia alienda chama cha wanasheria Tanganyika TLS akawabidhi gari la milioni 400 kwa kazi za chama chao

Yeye katoa nini?
Kaenda kujitambulisha
 
Back
Top Bottom