Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Toka mwaka jana mwezi wa 12 hali ni hiyohiyo mtaani kwetu watu wakasema oooh! Mungu anafunga hesabu yake ya mwaka, watu mnachanga nzengo mpaka mnachoka.Aisee nikiangalia idadi ya misiba nnayokutana nayo wiki mbili hizi
siyo hali ya kawaida
Something is not right somewhere
😆😆😆 Maji baridi !Tatizo wabongo tu wabishi sana. Unakutana na mtu anakuambia Tanzania hamna Corona.
Unajiuliza kama mataifa mengine yote covid-19 ipo na inaua watu daily sisi Tanzania tuna ubia gani na Mungu mpaka covid isiwepo kwetu?
Ujinga huu huu ndio ulisababisha SA mpaka sasa AIDs ni janga kubwa. Kisa rais aliwaambia dawa ya ukimwi kuoga maji baridi.
Tuendelee kupiga nyungu 😂😆😆😆 Maji baridi !
Kuna huyo mtu anaitwa Mpango tumwombee.Kumekucha!!! Hatimae mdudu ametia timu kwenye ofisi ya Mh Rais rasmi!!!
Kocha Magu ajipange apangike kweli kweli, mpaka ikifikia mwezi wa 4 hivi, atakua ameshapoteza "BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI MPAKA SUB ZOTE" kutokana na ule ugonjwa wa kishetani aliosema haupo Tanzania.
Itakua yeye "ANAFANYA UTEUZI" na Sir God nae "ANAFUTA UTEUZI". Kasheshe, Tutaongea lugha moja mwaka huu walai!!!
Mtu unalala huku una mawazo kilo 7 kichwani, mawazo ya kesho sijui utaamshwa na taarifa gani. Ukisikia simu inaita asubuhi asubuhi "PRESHA INAPANDA" kabla hata ya kupokea (Usiombe ukawa na mgonjwa), roho ipo juu juu huna amani masaa yote unategemea taarifa ya vifo. Ukiingia JF unakuta thread tatu tatu za misiba hujui uanze kutoa pole thread ipi!!!
Huna mchango wowote wa maana ni utopolo tu, mtu mwenye akili timamu hawezi kuwaza mambo ya kuvunja katiba ili fulani aongezewe muda kwa kipi hasa. Nenda kakojoe ukalale hujui chochote weweJifunze ku respect mawazo ya wenzako. Wewe sio binadama ambaye umekamilika peke yako. Kila mmoja ana desire yake na usifikiri kuwa wote tuna mawazo kama yako. Usichokipenda wewe haimaanishi kuwa na sisi pia hatukipendi.
Heshim mawazo ya wenzako na usipende kujaji kuwa ni utopolo. Wewe ni nani? Na nani kakipa mamlaka ya kujaji kuwa mawazonya wenzako ni utopolo?
Kama huna hoja ya kuchangia basi kaa kimya! Sidhani kama kuna mtu anahitaji your justification.
Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.
This is more than breaking News.
Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.
Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
Wacha kutisha watu bwana. Unajitutumua kama kifutu!Nakuonya kwa mara nyingine chunga sana kauli zako. Serikali Ina mkono mrefu.
Hilo CV reeefuuuu..... road engineering?
Tangible outputs hazionekani zaidi ya kujivika tu titles zenye masifa ya kisiasa!
Injinia Kijazi!
mungu wa chato?!😞Sisi tunamtegemea mungu
Wacha kutisha watu bwana. Unajitutumua kama kifutu!
Waache watu wazungumze, usitake kujivika ukachero hapa.
Wahimize watu kuacha kusalimia kwa kushikana mikono ofisi zote na maji ya kunawa na barakoaPoleni familia, Wahamasishe watu wachukue tahadhari sana. Wanaotaka kujifungia wajifungie, wengine tahadhari kubwa.
Rais kubali Chanjo za Pfizer zitapunguza vifo.
Hospitalization.
Uswahilini bado watoto watu wazima wanajikusanya wanakaa vijiweni bila barakoa wala kunawa mikono huko ndipo kisimani maambukizi yote yamejaaTanzania tumepatikana aisee,Jamani turudie njia za kisayansi
Wanaokufa pasipo kutangazwa ni wengi sana na hasa huko uswahilini kwenye mikusanyiko isiyo na umakini wala maonyo yeyoteSina cha kuandika zaidi ya kusema Tz hakuna Corona....but nadhan ngoma inakita mdundo ambao huwezi sikia sauti ya wimbo.
Ila hali ni tete kweli.
Wanaokufa viongozi wa huko juu ni dalili tosha kua huku chini hali ni mbaya sana