TANZIA Katibu mkuu KKKT Dayosisi ya Kaskazini afariki dunia

TANZIA Katibu mkuu KKKT Dayosisi ya Kaskazini afariki dunia

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini Moshi, Arthur Shoo amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikokuwa akipatiwa matibabu.

Mkuu wa Dayosisi hiyo ambaye ndiye mkuu wa Kanisa hilo Tanzania, Askofu Fredrick Shoo amethibitishia Mwananchi Digital leo Februari 26, 2021 kuwa mtendaji wake huyo mkuu alifariki dunia jana usiku akiendelea na matibabu hospitali ya KCMC.

“Ni msiba mzito kwangu, familia na kwa wana Dayosisi wote,” amesema Askofu Shoo na kueleza kuwa alikuwa amelazwa katika hospitali hiyo inayomilikiwa na Shirika la Msamaria Mwema (GSF) tangu Jumatatu ya wiki hii.

Taarifa za kifo cha Katibu mkuu huyo zilianza kusambaa jana saa 3 usiku kupitia makundi ya whatsapp na Askofu Shoo alipoulizwa usiku huo alijibu tu kwa kifupi “Ni kweli usiku huu nimeondokewa na Katibu mkuu wa Dayosisi.”

Chanzo: Mwananchi
 
Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini Moshi, Arthur Shoo amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikokuwa akipatiwa matibabu.

Mkuu wa Dayosisi hiyo ambaye ndiye mkuu wa Kanisa hilo Tanzania, Askofu Fredrick Shoo amethibitishia Mwananchi Digital leo Februari 26, 2021 kuwa mtendaji wake huyo mkuu alifariki dunia jana usiku akiendelea na matibabu hospitali ya KCMC.

“Ni msiba mzito kwangu, familia na kwa wana Dayosisi wote,” amesema Askofu Shoo na kueleza kuwa alikuwa amelazwa katika hospitali hiyo inayomilikiwa na Shirika la Msamaria Mwema (GSF) tangu Jumatatu ya wiki hii.

Taarifa za kifo cha Katibu mkuu huyo zilianza kusambaa jana saa 3 usiku kupitia makundi ya whatsapp na Askofu Shoo alipoulizwa usiku huo alijibu tu kwa kifupi “Ni kweli usiku huu nimeondokewa na Katibu mkuu wa Dayosisi.”

Chanzo: Mwananchi

Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini Moshi, Arthur Shoo amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikokuwa akipatiwa matibabu.

Mkuu wa Dayosisi hiyo ambaye ndiye mkuu wa Kanisa hilo Tanzania, Askofu Fredrick Shoo amethibitishia Mwananchi Digital leo Februari 26, 2021 kuwa mtendaji wake huyo mkuu alifariki dunia jana usiku akiendelea na matibabu hospitali ya KCMC.

“Ni msiba mzito kwangu, familia na kwa wana Dayosisi wote,” amesema Askofu Shoo na kueleza kuwa alikuwa amelazwa katika hospitali hiyo inayomilikiwa na Shirika la Msamaria Mwema (GSF) tangu Jumatatu ya wiki hii.

Taarifa za kifo cha Katibu mkuu huyo zilianza kusambaa jana saa 3 usiku kupitia makundi ya whatsapp na Askofu Shoo alipoulizwa usiku huo alijibu tu kwa kifupi “Ni kweli usiku huu nimeondokewa na Katibu mkuu wa Dayosisi.”

Chanzo: Mwananchi
Nimeanza kuona na kupata sababu iliyo mfanya Mh. Waziri wa Fedha alikua anaongea kwa uchungu mkubwa baada ya kupona. Pole I wafiwa wote
 
Alale salama katibu
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
 
Nimeanza kuona na kupata sababu iliyo mfanya Mh. Waziri wa Fedha alikua anaongea kwa uchungu mkubwa baada ya kupona. Pole I wafiwa wote
Baada ya kuongea kwa uchungu mkubwa amechukua hatua gani ili wengine wasipitie hayo aliyoyapitia yeye? Ni wangapi wataweza kupata hiyo oxygen kwa wiki mbili kama yeye? Kama chanjo ipo inayoweza kukinga yote hayo amechukua hatua gani kuishauri serikali?
Mpendwa wetu PUMZIKA KWA AMANI. Mungu akukutanishe na mpendwa mwingine TANZIA - Balozi Richard Mariki, Katibu Mkuu mstaafu KKKT Afariki dunia
 
Katibu Mkuu wa Dayosisi anaitwa Athur Shoo! Mkuu wa Dayosisi naye ni Askofu Fredrick Shoo!! What a coincidence!!

Rest in Peace Katibu Mkuu wa Dayosisi.
 
Katibu mkuu wa dayosisi anaitwa Shoo na Askofu wa hiyo Dayosidi naye anaitwa Shoo na anatangaza kifo cha Shoo mwemzie .Poleni Sana akina Shoo na hongereni akina shoo mnaojua dini a KKKT peke yenu kuliko akina Massawe au akina Mushi nk wa KKKT wasio na majina ya Shoo
 
RIP. Inaonekana Shoo wana influence kubwa KKKT.
 
Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini Moshi, Arthur Shoo amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikokuwa akipatiwa matibabu.

Mkuu wa Dayosisi hiyo ambaye ndiye mkuu wa Kanisa hilo Tanzania, Askofu Fredrick Shoo amethibitishia Mwananchi Digital leo Februari 26, 2021 kuwa mtendaji wake huyo mkuu alifariki dunia jana usiku akiendelea na matibabu hospitali ya KCMC.

“Ni msiba mzito kwangu, familia na kwa wana Dayosisi wote,” amesema Askofu Shoo na kueleza kuwa alikuwa amelazwa katika hospitali hiyo inayomilikiwa na Shirika la Msamaria Mwema (GSF) tangu Jumatatu ya wiki hii.

Taarifa za kifo cha Katibu mkuu huyo zilianza kusambaa jana saa 3 usiku kupitia makundi ya whatsapp na Askofu Shoo alipoulizwa usiku huo alijibu tu kwa kifupi “Ni kweli usiku huu nimeondokewa na Katibu mkuu wa Dayosisi.”

Chanzo: Mwananchi

Apumzike kwa amani.

Mbuyu uko busy na mapato.

Wa kufa na afe wa kuishi na aishi. Ya kuwa kaachiwa Mungu.

Kama kaachiwa gwiji Mungu nyungu za nini?
 
Back
Top Bottom