establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
Hovyo kabisa!Katibu Mkuu (CEO) ndie atakayeratibu zoezi la kupata wagombea nchi nzima. Apatikane Kiongozi Makin, mtulivu, Msomi na mwenye uzoefu katika Siasa na uongozi.
NB:akitokea Zanzibar sio dhambi
Napendekeza John MnyikaHovyo kabisa!
Sentensi hiyo ndo nafikiri iliyobeba uzito na ndo lengwa haswaa la thread yako, ngoja tuone!NB:akitokea Zanzibar sio dhambi