KATIBU MKUU MTOE MWIJAKU KWENYE HAMASA..YAANI HATA 500 /=ATUTOTOA...

KATIBU MKUU MTOE MWIJAKU KWENYE HAMASA..YAANI HATA 500 /=ATUTOTOA...

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kuna vitu vinafanya watu waone hayamambo kama comedy inaendelea

mh katibu tunaomba huyu mwijaku achaneni nae kwenye timuyako ya hamasaaa

yaani uwepo wakee wananchi wa.eapa hata 500 hatutoi

kuna taarifaa wamehojiwa anasisitiza anahitaji hataa 1000 ya kila mtanzania

yaani uwepooo wake tuhuko kamwee atutoi hataa 💯
 
mh katibu tunaomba huyu mwijaku achaneni nae kwenye timuyako ya hamasaaa
Sio Mwijaku tu, bali hiyo kamati yote ivunjwe kabisa haipo kimichezo bali ipo kwa manufaa ya CCM, hizo hela za kutuchangisha eti eti kuhamasisha T /Stars zitakusanywa na kuingizwa katika mifuko ya mafisadi wa CCM.

Tukatae ujinga ujinga.

Kushinda kwa Stars ni kushinda kwa

LAKINI

Kushindwa kwa Stars ni hatua mojawapo ya kuanza kushindwa kwa CCM.

Huu ni wakati wa kukataa ujinga, mwenye masikio na asikie.
 
Nchi nyingine wanawekeza kwenye football academy sisi tupo kwenye chipukizi😁😁😁😁


Haya ngoja tuone safari hii kichwa cha mwandawazimu kitakuwaje?
 
Balozi mwenye vigezo hapo ni Bongo zozo. Jamaa yuko vizuri. Na sidhani kama yupo kimaslahi kama hao CHAWA akina Mwijaku, Baba Levo, nk.
 
Back
Top Bottom