Katibu Mkuu TFF Mwesigwa amkaripia Jerry Muro na kumpa jina baya

Mmmmmmmh, je, ni kweli JERRY MURO amesema YANGA ni kubwa kuliko CAF?????????? jamani, siamini hivyo....
Kaongea hivyo leo, kwenye kipindi cha michezo Clauds fm.
 

Ukiona mtu katika jamii anasema wazi wazi viwango vya elimu yake kwamba sijui ana Masters, PhD sijui na digrii aina yoyote ile ujue lipo tatizo kubwa...YANGA ina bahati mbaya mno...kiongozi yeyote yule katika jamii iwe ni katika soka au sekta yoyote ile ni lazima awe makini katika mambo mbalimbali ikiwemo namna ya kuonekana na pia kuongea katika jamii...sasa tatizo lililopo katika soka yetu ni kuwa watu wanapenda mipasho...na usishangae kuwa hayo aliyoongea huyo msemaji wa YANGA wako wengi waliompongeza...Soka ya Tanzania ina matatizo makubwa...
 
Mwesiga umemchokoza Muro,je unaiweza vita ya maneno? Msije baadae kusuhishwa na wadau wa soka au wizara. Ungempotezea tu
 
Mmmmmmmh, je, ni kweli JERRY MURO amesema YANGA ni kubwa kuliko CAF?????????? jamani, siamini hivyo....
Kasema mkuu nimemsikia mwenyewe ithink alikua amepaniki maana yule jamaa ni dakika sufuri. Sikiliza michezo saa tatu hope wata mquote
 
Umemwona abiria wa Ubungo-Posta anayeenda Mwembechai akasafiri kwanza hadi Posta ndio arudi Mwembechai?

Mfano wako hau-apply hapa. Mwesiga alitoa hoja kwanza kisha akaenda mbali zaidi. Ni kama mtu anayetoka Ubungo - Mwembechai kuamua kufika usalama pia kusalimia jamaa baada ya kumaliza shughuli zilizompeleka mwembechai
 
Kwa hiyo mechi itarushwa live na kituo gani?
 
Mfano wako hau-apply hapa. Mwesiga alitoa hoja kwanza kisha akaenda mbali zaidi. Ni kama mtu anayetoka Ubungo - Mwembechai kuamua kufika usalama pia kusalimia jamaa baada ya kumaliza shughuli zilizompeleka mwembechai
Sawa iwe hivyo. Yaani mtu akiulizwa jawabu ya hesabu ya tano mara nane akajibu sawasawa kuwa ni arobaini na akaendelea kwamba tano hiyohiyo mara kumi ni hamsini, utamuhesabuje?
 
Hizo PHD zimesaidia nini Taifa...masikini wa kutupwaaa
 
Mmmmmmmh, je, ni kweli JERRY MURO amesema YANGA ni kubwa kuliko CAF?????????? jamani, siamini hivyo....
Vitu vingine ni rahisi sana kusema, ila tujiulize wameshalipa pesa ya kutumia uwanja? Ile 5% ya mapato ya uwanjani kupelekwa CAF wataikokotoa namna gani? Maamuzi mengine yanatia mashaka sana na hapa inatupa fursa ya kupima weledi wa Muro kuwa Msamaji wa Yanga.
Utamsikia oohhh mimi nimesoma vyuo vya nje sijasomea vyuo vya Manzese, wakati vyeti vyenyewe ni vya online, unaanza kusoma leo kesho unamaliza. Halafu kesho utawasikia hawana pesa za kusafirishia timu na kuanza kutembeza bakuli.
 
kupe lazima alalamike hajapata damu ya yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…