LGE2024 Katibu Mkuu UWT: Sisi CCM hatujawai kudharau kura ya mwananchi, kushindwa ni mwiko

LGE2024 Katibu Mkuu UWT: Sisi CCM hatujawai kudharau kura ya mwananchi, kushindwa ni mwiko

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Suzan Kunambi amewataka wananchi wa kata ya Kilimani mkoani Dodoma kuacha mzaha katika upigaji kura ikiwa ni fursa kwao kuchagua kiongozi bora.

Akizungumza na wananchi wa kata hiyo jijini Dodoma amesema Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania hakijawai kudharau chaguzi zozote zile.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Sisi Chama cha Mapinduzi hatujawai kudharau kura ya mwananchi, tunaheshimu chaguzi zenu, na ndio maana hatujawai kushindwa, tuache kufanya mzaha, sisi chaguzi sio mzaha, tusifanye mchezo huo, na kata hii ya Kilimani ni kata ya heshima, viongozi karibu wote wa chama wanaishi hapa kwa hiyo tunapaswa kushinda ushindi wa heshima,” amesema Kunambi.

 
Viva CHADEMA.. Viva forever❤❤❤
20241122_103731.jpg
 
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Suzan Kunambi amewataka wananchi wa kata ya Kilimani mkoani Dodoma kuacha mzaha katika upigaji kura ikiwa ni fursa kwao kuchagua kiongozi bora.

Akizungumza na wananchi wa kata hiyo jijini Dodoma amesema Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania hakijawai kudharau chaguzi zozote zile.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Sisi Chama cha Mapinduzi hatujawai kudharau kura ya mwananchi, tunaheshimu chaguzi zenu, na ndio maana hatujawai kushindwa, tuache kufanya mzaha, sisi chaguzi sio mzaha, tusifanye mchezo huo, na kata hii ya Kilimani ni kata ya heshima, viongozi karibu wote wa chama wanaishi hapa kwa hiyo tunapaswa kushinda ushindi wa heshima,” amesema Kunambi.

Pumbavu zake 2019 kulikuwa na kura?
 
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Suzan Kunambi amewataka wananchi wa kata ya Kilimani mkoani Dodoma kuacha mzaha katika upigaji kura ikiwa ni fursa kwao kuchagua kiongozi bora.

Akizungumza na wananchi wa kata hiyo jijini Dodoma amesema Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania hakijawai kudharau chaguzi zozote zile.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Sisi Chama cha Mapinduzi hatujawai kudharau kura ya mwananchi, tunaheshimu chaguzi zenu, na ndio maana hatujawai kushindwa, tuache kufanya mzaha, sisi chaguzi sio mzaha, tusifanye mchezo huo, na kata hii ya Kilimani ni kata ya heshima, viongozi karibu wote wa chama wanaishi hapa kwa hiyo tunapaswa kushinda ushindi wa heshima,” amesema Kunambi.

Kila mtu ana mdomo! kwanini mnazuia wagombea kama hamna dharau!!
 
Back
Top Bottom