The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 747
- 2,112
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni kujiuzulu kutokana na kushindwa kudhibiti vitendo hivyo kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya ukatili nchini.
Shaibu ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Katoro, Wilayani Geita, katika mkutano wa hadhara akisema kwamba visa vya ukatili vinavyoendelea nchini vimekuwa vikilichafua taifa.
Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na watu kupotea kusikojulikana na wengine kufanyiwa vitendo vya kikatili kama ubakaji, hali ambayo inatoa taswira mbaya kwa taifa.
Shaibu ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Katoro, Wilayani Geita, katika mkutano wa hadhara akisema kwamba visa vya ukatili vinavyoendelea nchini vimekuwa vikilichafua taifa.
Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na watu kupotea kusikojulikana na wengine kufanyiwa vitendo vya kikatili kama ubakaji, hali ambayo inatoa taswira mbaya kwa taifa.