Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo yu wapi baada ya kusomwa ripoti ya CAG?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Katibu Mkuu wa CCM amepotea hewani Mara baada ya kusomwa ripoti ya CAG.

Imefika mahali sasa Katibu Mkuu wa CCM amekosa la kusema wala la kuwaambia wananchi.

Anayejua aliko tafadhali!
 
Katibu Mkuu wa CCM amepotea hewani Mara baada ya kusomwa ripoti ya CAG.

Imefika mahali sasa Katibu Mkuu wa CCM amekosa la kusema wala la kuwaambia wananchi.

Anayejua aliko tafadhali!
Yupo anakamilisha hati ya hatua kwa wote waliotajwa
 
Katibu Mkuu wa CCM amepotea hewani Mara baada ya kusomwa ripoti ya CAG.

Imefika mahali sasa Katibu Mkuu wa CCM amekosa la kusema wala la kuwaambia wananchi.

Anayejua aliko tafadhali!
Sasa hivi anajitokeza kwa kuvizia
 
Katibu Mkuu wa CCM amepotea hewani Mara baada ya kusomwa ripoti ya CAG.

Imefika mahali sasa Katibu Mkuu wa CCM amekosa la kusema wala la kuwaambia wananchi.

Anayejua aliko tafadhali!

Yupo ofisini kwake makao mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katibu Mkuu wa CCM amepotea hewani Mara baada ya kusomwa ripoti ya CAG.

Imefika mahali sasa Katibu Mkuu wa CCM amekosa la kusema wala la kuwaambia wananchi.

Anayejua aliko tafadhali!
Yupo kajaa tele anatengeneza script ya kuzunguka nayo
 
Yupo anaandaa script ya kuinasua CCM katika tuhuma za ufisadi!
 
Ametapeliwa au wametengeneza mchongo😂.Tena waweza kuta yuu buheri wa afya,ila kaenda mafichoni kwa muda🏃🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…