Katibu Mkuu wa CCM kuwa mgeni rasmi Uzinduzi wa barabara Kibaha

Katibu Mkuu wa CCM kuwa mgeni rasmi Uzinduzi wa barabara Kibaha

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Leo Jumanne Februari 22, 2022 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo atakuwa Mgeni rasmi kwenye Uzinduzi wa Barabara ya Uongozi yenye Km 1.8 Mjini Kibaha kuanzia saa 3 na nusu

Uzinduzi huu wa Barabara utarushwa Mbashara kupitia Channel 10, TBC, Wasafi TV pamoja na Mitandao ya Kijamii ya CCM.

Karibu kufuatilia Matangazo ya Moja kwa Moja kutoka Kibaha.

IMG-20220222-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom