Katibu Mkuu wa CCM taifa, Daniel Chongolo afanya mazungumzo maalumu na Joel Nanauka

Joel NANAUKA ndiyo nani? Hii siyo mada ya kuwa Jukwaa La Siasa. Lapda iende Jamii pictures
 
Du balozi wa mtwara ! usijekuta huyu ndiye alietengeneza kale kabomu ka moshi ka kwenye ile V8 ya Jiwe siku zile,CCM ujanja janja za chini ya kapeti wanasema hata KATELEFONI siku Ile anatupiga FIX Pale msikitini njombe kuwa jiwe yupo kazini,kumbe alikuwa kwenye mazungumzo na mganga aliyemfufua Mangula yule mganga alimtolea nje
 
Hii nchi jamani, balozi wa Tanzania huko Mtwara? Au ni Balozi wa CCM huko Mtwara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…