Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika afiwa na baba yake mdogo huko Misungwi mkoani Mwanza

Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika afiwa na baba yake mdogo huko Misungwi mkoani Mwanza

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mahakama ya Kisutu jana ilielezwa kuwa mshtakiwa JJ Mnyika ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA ameshindwa kuhudhuria kesi baada ya kufiwa na baba yake mdogo huko Misungwi mkoani Mwanza.
Mazishi yalifanyika jana.

Mungu ampumzishe kwa amani

Source: Star Tv
 
Mahakama ya Kisutu jana ilielezwa kuwa mshtakiwa JJ Mnyika ambaye ni katibu mkuu wa CHADEMA ameshindwa kuhudhuria kesi baada ya kufiwa na baba yake mdogo huko Misungwi mkoani Mwanza.
Mazishi yalifanyika jana.

Mungu ampumzishe kwa amani

Source Star tv!
Wewe si mmoja wa wapika propaganda kuwa Mnyika ni mchaga/wa kaskazini? Leo unaona soni kwa roporopo zako. Pole mtani wangu John John Mnyika
 
Back
Top Bottom