Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni

Bado siamini uchaguzi umeisha kwa amani hivi. Nilitegemea sahivi iwe ni vita kali ya kugawana ofisi kama Maalim Seif na Lipumba. Kudos kwa Mbowe, amefanya mambo yawe smooth sana, a Democratic icon.
Wengi wakiokuwa wanamtukana Mbowe hawamjui
 
Haa Haa Mtaipasua Zaidi CCM yaani Gusa Gusa Hapo Nyuma Mpaka Watumie Dollar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…