Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika yuko wapi?

Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika yuko wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,120
Reaction score
24,667
Wanajamvi, huyu Mwamba John Mnyika ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa kimya sana hivi sasa!
Haonekani mara kwa mara kwenye mikutano ya chama mikoani akiwa na viongozi wengine, Je nini kimempata?

Hata wakati ule CHADEMA walivyotangaza maandamano katika mikoa tofauti hakuonekana sana, kulikoni huyu mwamba!?

Hakuna yeyote mwenye mashaka na utimilifu wake katika masuala ya kiongozi, alipokuwa bungeni alikiwasha sana hata baada ya kutoka alikiwasha pia

Ila kwa sasa amekuwa tofauti, hainekani wala kusikika mara kwa mara kama ilivyo kwa katibu mkuu wa CCM kwa sasa

Kwa kweli tunahitaji kuiona combo yake na viongozi wenzake, hasa kipindi hiki tunaelekea uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu! Tujuzane kulikoni huyu mwamba

Zipo tetesi zinazofanana fanana na zile za Peter Msigwa kumhusu ila kwa kuwa hapa jamvini hakuna kinachoshindikana, naamini tutapata taarifa sahihi kumhusu huyu mwamba!!
 
Wanajamvi, huyu Mwamba John Mnyika ambaye ni Katibu Mkuu wa Chadema amekuwa kimya sana hivi sasa!
Haonekani mara kwa mara kwenye mikutano ya chama mikoani akiwa na viongozi wengine, Je nini kimempata?
Hata wakati ule CHADEMA walivyotangaza maandamano katika mikoa tofauti hakuonekana sana, kulikoni huyu mwamba!?

Hakuna yeyote mwenye mashaka na utimilifu wake katika masuala ya kiongozi, alipokuwa bungeni alikiwasha sana hata baada ya kutoka alikiwasha pia

Ila kwa sasa amekuwa tofauti, hainekani wala kusikika mara kwa mara kama ilivyo kwa katibu mkuu wa ccm kwa sasa

Kwa kweli tunahitaji kuiona combo yake na viongozi wenzake, hasa kipindi hiki tunaelekea uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu! Tujuzane kulikoni huyu mwamba

Zipo tetesi zinazofanana fanana na zile za P. Msigwa kumhusu ila kwa kuwa hapa jamvini hakuna kinachoshindikana, naamini tutapata taarifa sahihi kumhusu huyu mwamba!!
Vipi mkeo yupo nyumbani, kama hayupo nenda kamualifu mjumbe ili tumfumanie.
 
Nadhani chadema Kuna mambo hayapo sawa
CHADEMA wanachofanya na kuongea chinichini mpaka kwa chama cha Kijani ni kuwa hawamtaki tena MBOWE kuwa Mwenyekiti...na wanahisi kuna Mtu muhimu kuliko Mbowe ila hapewi nafasi

Mimi sina itikadi ya chama chochote ila hili lipo
 
Kamuachia Mbowe chama chake,ukatibu mkuu unaviziwa na Meya Jacobo
 
Mwanaume mzima unalalmika kutomuona mwanaume mwenzako!
Hivi unafahamu maana ya kulalamika?
Kiicholetwa hapa Kwa akili zako fupi umeona ni malalamiko!
...inaonekana una kamtindio kwenye ubongo! Pole sana kilaza wee!
 
Hivi unafahamu maana ya kulalamika?
Kiicholetwa hapa Kwa akili zako fupi umeona ni malalamiko!
...inaonekana una kamtindio kwenye ubongo! Pole sana kilaza wee!
Endelea tu kumtafuta na ikibidi tumia tochi huenda ukafanikiwa kumuona wako wa rohoni.
 
Back
Top Bottom