Sauti ya Umma
Member
- Aug 26, 2010
- 39
- 21
Kyara amebainisha hayo Jumamosi Desemba 14, 2024 wakati akitoa maoni kwenye uhakiki wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.
Katibu huyo amesisitiza kuwa watoto na vijana wanabaki wenyewe muda mrefu bila ya uangalizi wa wazazi, na hivyo kuwafanya kufuata tamaduni za kigeni wanazoziona kupitia mitandao ya kijamii.