Katibu Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hiyo katika uchaguzi utakaofanyika baadaye mwaka huu, huku akiahidi kuleta mageuzi katika sekta mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Morogoro, Doyo amebainisha mambo 10 ambayo atayazingatia na kuyapa kipaumbele endapo atapata ridhaa ya kuliongoza Taifa la Tanzania.
Katibu Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hiyo katika uchaguzi utakaofanyika baadaye mwaka huu, huku akiahidi kuleta mageuzi katika sekta mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Morogoro, Doyo amebainisha mambo 10 ambayo atayazingatia na kuyapa kipaumbele endapo atapata ridhaa ya kuliongoza Taifa la Tanzania.
Katibu Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hiyo katika uchaguzi utakaofanyika baadaye mwaka huu, huku akiahidi kuleta mageuzi katika sekta mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Morogoro, Doyo amebainisha mambo 10 ambayo atayazingatia na kuyapa kipaumbele endapo atapata ridhaa ya kuliongoza Taifa la Tanzania.
Katibu Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hiyo katika uchaguzi utakaofanyika baadaye mwaka huu, huku akiahidi kuleta mageuzi katika sekta mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Morogoro, Doyo amebainisha mambo 10 ambayo atayazingatia na kuyapa kipaumbele endapo atapata ridhaa ya kuliongoza Taifa la Tanzania.
Watu aina hii ni mawakala wa Ccm kuipa uhalali wa kuingia kwenye uchaguzi haramu.
Kuunga mkono uchaguzi ambao unaelewa kabisa kuwa hautakuwa wa huru na haki na kamwe hauwezi kushinda huwa wana agenda B vifuani mwao, kuna jambo lenye manufaa binafsi kalilenga hapo.
Watu aina hii ni mawakala wa Ccm kuipa uhalali wa kuingia kwenye uchaguzi haramu.
Kuunga mkono uchaguzi ambao unaelewa kabisa kuwa hautakuwa wa huru na haki na kamwe hauwezi kushinda huwa wana agenda B vifuani mwao, kuna jambo lenye manufaa binafsi kalilenga hapo.
Hivyo ndio CCM huiba kura, Nakumbuka Anna Mugwira walimpa kura nyingi maeneo ambaya hata hakuwahi kufika, na hata hawamtambui, kila mtu alikuwa anashangaa huyo mgombea ni nani lakini unakuta CCM wamempa kura zote za CDM, ili kuficha ukweli.
Huyo utashangaa hata asipofanya kampeni utaambiwa kapata 28% ya kura zote nchini.
Hivyo ndio CCM huiba kura, Nakumbuka Anna Mugwira walimpa kura nyingi maeneo ambaya hata hakuwahi kufika, na hata hawamtambui, kila mtu alikuwa anashangaa huyo mgombea ni nani lakini unakuta CCM wamempa kura zote za CDM, ili kuficha ukweli.
Huyo utashangaa hata asipofanya kampeni utaambiwa kapata 28% ya kura zote nchini.