The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 747
- 2,112
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba amesema hayo akizungumza leo Jumatano Agosti 7, 2024 alipotembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) lililopo katika maonesho ya Nanenane Nzuguni Jijini Dodoma.
“Wakati mwingine tunatumia umeme kuwasha taa, kuwasha TV, kuwasha radio, kuwasha AC na feni lakini hatutumii umeme kupikia kwa sababu tunaamini bei yake itakuwa juu sana lakini ujumbe ambao upo kwenye maonesho ya Wakala wa Nishati Vijijni (REA) ni kwamba sasa teknolojia imewezesha utumie umeme kupikia na gharama yake iwe ndogo kuliko kutumia vyanzo vyote vinavyofahamika”, amesema Mhandisi Mramba.
Soma Pia: Nishati Safi ya Kupikia, Mwarobaini tunao na ni Bora kuliko Gesi
“Wakati mwingine tunatumia umeme kuwasha taa, kuwasha TV, kuwasha radio, kuwasha AC na feni lakini hatutumii umeme kupikia kwa sababu tunaamini bei yake itakuwa juu sana lakini ujumbe ambao upo kwenye maonesho ya Wakala wa Nishati Vijijni (REA) ni kwamba sasa teknolojia imewezesha utumie umeme kupikia na gharama yake iwe ndogo kuliko kutumia vyanzo vyote vinavyofahamika”, amesema Mhandisi Mramba.
Soma Pia: Nishati Safi ya Kupikia, Mwarobaini tunao na ni Bora kuliko Gesi