Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Elimu ya kujua kusoma Na Kuandika kama kule kwenye timu ya wapiga makofi...Kwa wanaofahamu, katibu wa itikani na uenezi wa CCM anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?
Je mtu mwenye tuhuma za kufoji vyeti anaweza kushika nafasi hiyo?
KibajajiElimu ya kujua kusoma Na Kuandika kama kule kwenye timu ya wapiga makofi...
Ya hapa na pale?Ana degree Kama ya shigongo
Ya kuunga unga kama ya MboweKwa wanaofahamu, katibu wa itikani na uenezi wa CCM anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?
Je mtu mwenye tuhuma za kufoji vyeti anaweza kushika nafasi hiyo?
Degree Yake ni halali ila Hana cheti cha form four kwahiyo kasoma certificate ya uvuvi Then degree ya uvuvi pale MuccosYa hapa na pale?
DJ Mbowe kwenye moja na mbili.Ya kuunga unga kama ya Mbowe
Huwezi kupata degree halali kama hauna cheti halali cha form 4Degree Yake ni halali ila Hana cheti cha form four kwahiyo kasoma certificate ya uvuvi Then degree ya uvuvi pale Muccos
Kesho naanza kugawa vitengo, kama kuna mwanamke mwenye tacle mwambie ajewewe ushapewa bandari tulia.
Mari,,, Biriani,yani tope tupu chapachapa ndembendembe.Kesho naanza kugawa vitengo, kama kuna mwanamke mwenye tacle mwambie aje
Lakini bashite sindugu yako au DAB? Kakupambia umepata bandariHuwezi kupata degree halali kama hauna cheti halali cha form 4
a hii ndio a a a a a.....Kwa wanaofahamu, katibu wa itikani na uenezi wa CCM anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?
Je, mtu mwenye tuhuma za kufoji vyeti anaweza kushika nafasi hiyo?
SIFA ZA KUPATA CHEO KWENYE CHAMA:Kwa wanaofahamu, katibu wa itikani na uenezi wa CCM anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?
Je, mtu mwenye tuhuma za kufoji vyeti anaweza kushika nafasi hiyo?
Naunga juhudiwewe ushapewa bandari tulia.
MboweKibajaji