upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Wakuu
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey ameendelea kusisitiza kuwa Uchaguzi Mkuu uko pale pale
Tunafanya uchaguzi miaka yote sio kwasababu ya TAMKO au MATAMKO, bali kwasababu ni takwa la kikatiba lililotokana na VIKAO halali vilivyopewa nguvu ya Kisheria.
Hivyo basi hatutoacha kufanya uchaguzi kwasabau ya TAMKO au MATAMKO yasiyotokana na VIKAO halali vilivyopewa nguvu ya KISHERIA.
“NO REFORMS NO ELECTION ni KACHUMBARI tuu inayochagiza kuliwa kwa PILAU.”
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey ameendelea kusisitiza kuwa Uchaguzi Mkuu uko pale pale
Tunafanya uchaguzi miaka yote sio kwasababu ya TAMKO au MATAMKO, bali kwasababu ni takwa la kikatiba lililotokana na VIKAO halali vilivyopewa nguvu ya Kisheria.
Hivyo basi hatutoacha kufanya uchaguzi kwasabau ya TAMKO au MATAMKO yasiyotokana na VIKAO halali vilivyopewa nguvu ya KISHERIA.
“NO REFORMS NO ELECTION ni KACHUMBARI tuu inayochagiza kuliwa kwa PILAU.”
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025