Katibu Mwenezi na Itikadi (CCM), Ndugu Shaka tumekuelewa

Kila mwenye kufanikiwa hakuwahi kukosa maadui

Mafanikio yake dogo, yanasimikwa na ujinga mwingi wa wenye wivu!

Endeleeni kumsema yasiyo Kweli, ndio anasafiri hivo mwenzenu, nyie endeleeni kushinda mitandaoni Kwa umbea wenu!!

Eti boga!!?? Mla boga naye ataitwaje?? Pumbavu zako wewe Kwa uwongo wa kijinga!!
 

Mchele Mchele na Boflo chakula kizuri zanzibar.
 
Kiongozi haitakiwi kuwa na kashfa mbaya yoyote
Baba wa taifa hayati j k nyerere alishasema hayo kiongozi anatakiwa awe mtu msafi.
Hii kashfa nakumbuka ilishawahi kuthibitishwa morogoro jamaa akaondolewa huko
Kwani kashfa pekee bila uthibitisho inatosha kusema kuwa mtu huyo tayari ni mchafu au mpaka ipatikane ithbaati ?
 
Shida huyu dogo aliwahi kumbwa na kashfa ya rushwa na hadi akatemwa na JPM na hajawahi kusafishwa!!!!
JPM alikuwaga na kisirani kikali sana kama hakupendi anaweza kukutungia uwongo huo mpaka ukatetemeka. Anaweza kusema hata kuwa unataka kumuua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…