Pre GE2025 Katibu Mwenezi wa CHADEMA Njombe atimkia CCM

Pre GE2025 Katibu Mwenezi wa CHADEMA Njombe atimkia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1736009369884.png

Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Jimbo la Njombe Mjini Emmanuel Kayombo na wenzake saba wamehama Chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi CCM

Mwaka 2020 Kayombo aligombea udiwani Kata ya Njombe Mjini, Kupitia lakini hakufanikiwa kushinda. Na mwaka 2024 aligombea uenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Kambarage ambako nako aliangukia pua dhidi ya Francis Msanga(FM) wa CCM aliyekuwa akitetea kiti hicho kwa awamu nyingine.

Zoezi la kuhamia CCM limefanyika leo January 4, 2025 Mjini Njombe na kupokelewa na Katibu wa Siasa Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Njombe Ndugu Josaya Luoga ambaye amewataka kuanza kazi ya kukiimarisha chama hicho mara moja.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya CCM Kayombo na wenzake wamesema kilichowavutia kwenda CCM ni katiba imara na yenye misingi ya kuigwa pamoja na nidhamu kubwa iliyopo ndani ya CCM.

Aidha Kayombo amesema chama alichokuwepo kimekosa nidhamu na kuweka hadharani mambo ya kuyajadili ndani jambo lililomfanya atimkie CCM kwani hakuna yeyote anayeweza kufanikiwa bila kuwa na nidhamu.

"Taifa linashuhudia Chama kile cha (CHADEMA) kitu kinachoitwa utovu wa nidhamu, yani gari lile dereva na msaidizi wote wamelewa lakini vile vile hata baadhi ya abiria nao wamelewa kwa hiyo sisi wengine tukaona wanatuchanganya tumeamua kuondoka" amesema Kayombo
 
Aidha Kayombo amesema chama alichokuwepo kimekosa nidhamu na kuweka hadharani mambo ya kuyajadili ndani jambo lililomfanya atimkie CCM kwani hakuna yeyote anayeweza kufanikiwa bila kuwa na nidhamu.

"Taifa linashuhudia Chama kile cha (CHADEMA) kitu kinachoitwa utovu wa nidhamu, yani gari lile dereva na msaidizi wote wamelewa lakini vile vile hata baadhi ya abiria nao wamelewa kwa hiyo sisi wengine tukaona wanatuchanganya tumeamua kuondoka" amesema Kayombo
😂😂😂😂
 
Hili lichama linamfia mikononi Mbowe. amekosa kabisa maarifa ya kutoka kwenye mkwamo huu. Lissu kamwingiza kwenye mtego. Aachie ngazi ndiyo suluhisho jema
 

Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Jimbo la Njombe Mjini Emmanuel Kayombo na wenzake saba wamehama Chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi CCM

Mwaka 2020 Kayombo aligombea udiwani Kata ya Njombe Mjini, Kupitia lakini hakufanikiwa kushinda. Na mwaka 2024 aligombea uenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Kambarage ambako nako aliangukia pua dhidi ya Francis Msanga(FM) wa CCM aliyekuwa akitetea kiti hicho kwa awamu nyingine.

Zoezi la kuhamia CCM limefanyika leo January 4, 2025 Mjini Njombe na kupokelewa na Katibu wa Siasa Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Njombe Ndugu Josaya Luoga ambaye amewataka kuanza kazi ya kukiimarisha chama hicho mara moja.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya CCM Kayombo na wenzake wamesema kilichowavutia kwenda CCM ni katiba imara na yenye misingi ya kuigwa pamoja na nidhamu kubwa iliyopo ndani ya CCM.

Aidha Kayombo amesema chama alichokuwepo kimekosa nidhamu na kuweka hadharani mambo ya kuyajadili ndani jambo lililomfanya atimkie CCM kwani hakuna yeyote anayeweza kufanikiwa bila kuwa na nidhamu.

"Taifa linashuhudia Chama kile cha (CHADEMA) kitu kinachoitwa utovu wa nidhamu, yani gari lile dereva na msaidizi wote wamelewa lakini vile vile hata baadhi ya abiria nao wamelewa kwa hiyo sisi wengine tukaona wanatuchanganya tumeamua kuondoka" amesema Kayombo
Asali tamu wewe
 

Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Jimbo la Njombe Mjini Emmanuel Kayombo na wenzake saba wamehama Chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi CCM

Mwaka 2020 Kayombo aligombea udiwani Kata ya Njombe Mjini, Kupitia lakini hakufanikiwa kushinda. Na mwaka 2024 aligombea uenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Kambarage ambako nako aliangukia pua dhidi ya Francis Msanga(FM) wa CCM aliyekuwa akitetea kiti hicho kwa awamu nyingine.

Zoezi la kuhamia CCM limefanyika leo January 4, 2025 Mjini Njombe na kupokelewa na Katibu wa Siasa Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Njombe Ndugu Josaya Luoga ambaye amewataka kuanza kazi ya kukiimarisha chama hicho mara moja.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya CCM Kayombo na wenzake wamesema kilichowavutia kwenda CCM ni katiba imara na yenye misingi ya kuigwa pamoja na nidhamu kubwa iliyopo ndani ya CCM.

Aidha Kayombo amesema chama alichokuwepo kimekosa nidhamu na kuweka hadharani mambo ya kuyajadili ndani jambo lililomfanya atimkie CCM kwani hakuna yeyote anayeweza kufanikiwa bila kuwa na nidhamu.

"Taifa linashuhudia Chama kile cha (CHADEMA) kitu kinachoitwa utovu wa nidhamu, yani gari lile dereva na msaidizi wote wamelewa lakini vile vile hata baadhi ya abiria nao wamelewa kwa hiyo sisi wengine tukaona wanatuchanganya tumeamua kuondoka" amesema Kayombo
Kamfuata ndugu yake Msigwa!
 
Hawa ni sampuli za wasaka tonge walioshindwa uchaguzi wa ndani.
 
Ukiona mtu anakimbia kivuli chake ,uyo alikua shetani ndani ya chama ambae alijificha kwenye ngozi ya kondoo ,mwanadam asie na nafsi ya moyo na kuamini kile anachokiamini jua huo ni uendawawazim ,upumbavu na wasitupotezee mda , bora kimbilia kanisa lolote sio mavyama ya kidunia .fanya siasa kama sehem ya mapumziko, mjinga uyo.
Ukimuliza leo kwa nini umeondoka chadema anabaki Bwabwaja tu.

Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Jimbo la Njombe Mjini Emmanuel Kayombo na wenzake saba wamehama Chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi CCM

Mwaka 2020 Kayombo aligombea udiwani Kata ya Njombe Mjini, Kupitia lakini hakufanikiwa kushinda. Na mwaka 2024 aligombea uenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Kambarage ambako nako aliangukia pua dhidi ya Francis Msanga(FM) wa CCM aliyekuwa akitetea kiti hicho kwa awamu nyingine.

Zoezi la kuhamia CCM limefanyika leo January 4, 2025 Mjini Njombe na kupokelewa na Katibu wa Siasa Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Njombe Ndugu Josaya Luoga ambaye amewataka kuanza kazi ya kukiimarisha chama hicho mara moja.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya CCM Kayombo na wenzake wamesema kilichowavutia kwenda CCM ni katiba imara na yenye misingi ya kuigwa pamoja na nidhamu kubwa iliyopo ndani ya CCM.

Aidha Kayombo amesema chama alichokuwepo kimekosa nidhamu na kuweka hadharani mambo ya kuyajadili ndani jambo lililomfanya atimkie CCM kwani hakuna yeyote anayeweza kufanikiwa bila kuwa na nidhamu.

"Taifa linashuhudia Chama kile cha (CHADEMA) kitu kinachoitwa utovu wa nidhamu, yani gari lile dereva na msaidizi wote wamelewa lakini vile vile hata baadhi ya abiria nao wamelewa kwa hiyo sisi wengine tukaona wanatuchanganya tumeamua kuondoka" amesema Kayombo
J
 
Back
Top Bottom