Katibu TEC: Loliondo Watanzania wanateseka hadi sasa

Katibu TEC: Loliondo Watanzania wanateseka hadi sasa

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Katibu wa Balaza/ Baraza la Maaskofu Wakatoliki Tanzania amesema kupitia viongozi wasiowaaminifu wamewafanya wananchi wa Loliondo waishi maisha magumu kama wakimbizi ndani ya nchi yao, jambo ambalo halipaswi kurudiwa kutendwa na viongozi.

Padre Kitima ameonya huenda mkataba huu wa bandari nao ukawa na machungu kwa wananchi kama ule wa Loliondo.

Chanzo Kanisa Katoliki TV.
 
Katibu wa Balaza/ Baraza la Maaskofu Wakatoliki Tanzania amesema kupitia viongozi wasiowaaminifu wamewafanya Wananchi wa Loliondo waishi maisha magumu kama wakimbizi ndani ya nchi yao jambo ambalo halipaswi kurudiwa kutendwa na viongozi

Padre Kitima ameonya huenda mkataba huu wa bandari nao ukawa na machungu kwa wananchi kama ule wa Loliondo.

Chanzo Kanisa Katoliki TV.
Na chawa walishangilia san na kusifia, eti waondolewe porini. Njaa mbaya san!!
 
Tanzania Tumemeza Ndoano Ya DP World Bila Chambo
Tutajuta Sana Kuwahi Kutokea
Twafaa
 
Umaskini wa AKILI ni hatari sana ndugu zangu.kwa sababu huwezi kujua nn uunge mkono na nn usiunge kwa sababu ya ukosefu wa Akili.

ELIMU
ELIMU
ELIMU
ELIMU


Njaa Mbaya Sana, V8 Tu Wametoa Vyote
 
Ni kweli, walisingiziwa eti ni wafanyabiashara wakubwa wenye maelfu ya mifugo wanaojifanya kuwa wamasai.

Serikali ilipaswa kutumia diplomasia na majadiliano yanayozingatia maslahi ya wananchi wake. Ubabe ubabe mwingi.
 
Samia amekuja kuhakikisha haramu yote iliyoshindikana awamu ya nne anaikamilisha, yupo kama mdoli tu wa Msoga.
 
Mwanamke mwenye kiburi na dharau huangamiza familia yake mwenyewe, mwanamke wa namna hiyo hafai kuwa mke bora.
 
Back
Top Bottom