Katibu tff

Njowepo

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
9,710
Reaction score
2,240
Mwenye updates na aliyeikwaa hii nafasi?
 
mi nimeona kwenye michuzi kule..sikuwa na haja ya kusoma maana eti Jimmy Kabwe kawa afisa masoko sijui...aaaaghhh nikaona kichefuchefu tu
 
Dah nimetoka kwa michuzi uko Angetile naona ameula!
 
Angetile ni nani? naomba wasifu wake

Angetile Osiah, msanifu kurasa mkuu wa gazeti la mwananchi kwa hivi sasa. kabla hajajiunga hapo amefanya kazi kama mwandishi na mhariri wa habari za michezo kwa miaka mingi kuanzia IPP kabla hajaingia mwananchi
 
...Ameacha kazi ya uhakika Mwananchi kwenda kubahatisha TFF ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…