Pre GE2025 Katibu Uenezi CCM Amos Makalla ameenda China ikiwa ni miezi 4 imebaki mpaka kampeni zianze? China kuna siri gani?

Pre GE2025 Katibu Uenezi CCM Amos Makalla ameenda China ikiwa ni miezi 4 imebaki mpaka kampeni zianze? China kuna siri gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kama picha zinavyojionesha Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Amos Makalla ameongoza ujumbe wa NEC ya CCM katika ziara yake nchini China.

Makala alikutana na Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Masuala ya Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara wa IDCPC Rao Huihua mjini Beijing.

==================

Kwanini Makalla anaenda China, makao makuu ya chama cha KIDIKTETA cha Chinese Communist Party just 6 months kabla ya Uchaguzi kuanza?

Ni mbinu gani anaenda kujifunza huko China? Ni wizi wa kura, matumizi ya polisi kipindi cha Uchaguzi au jinsi ya kusambaza Propaganda?

Kwanini Makalla asingeenda Canada, Uingereza au Marekani kwenda kujifunza jinsi Wamagharibi wanavyoupiga mwingi kwenye demokrasia?

Kwanini China?


Snapinst.app_483687062_18473692216064781_6921792783424649884_n_1080.jpg


Snapinst.app_483494050_18473692162064781_5424693031476603085_n_1080.jpg



Snapinst.app_483353099_18473692204064781_8728047872686493137_n_1080.jpg




 

Attachments

  • Snapinst.app_483494050_18473692162064781_5424693031476603085_n_1080.jpg
    Snapinst.app_483494050_18473692162064781_5424693031476603085_n_1080.jpg
    107.9 KB · Views: 1
Wakuu,

Kama picha zinavyojionesha Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Amos Makalla ameongoza ujumbe wa NEC ya CCM katika ziara yake nchini China.

Makala alikutana na Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Masuala ya Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara wa IDCPC Rao Huihua mjini Beijing.

==================

Kwanini Makalla anaenda China, makao makuu ya chama cha KIDIKTETA cha Chinese Communist Party just 6 months kabla ya Uchaguzi kuanza?

Ni mbinu gani anaenda kujifunza huko China? Ni wizi wa kura, matumizi ya polisi kipindi cha Uchaguzi au jinsi ya kusambaza Propaganda?

Kwanini Makalla asingeenda Canada, Uingereza au Marekani kwenda kujifunza jinsi Wamagharibi wanavyoupiga mwingi kwenye demokrasia?

Kwanini China?


Mipango ya kuiba uchaguzi. We hujui?
 
Karatasi za kupigia kura si ndipo zinapotoka?!
Na vifaa vinginevyo?!
Jiongeze
 
Back
Top Bottom