Pre GE2025 Katibu Uenezi CCM Kilimanjaro: Porojo za "No Reform No Election" waachieni hao wendawazimu, mmoja akigoma wengine watashiriki uchaguzi

Pre GE2025 Katibu Uenezi CCM Kilimanjaro: Porojo za "No Reform No Election" waachieni hao wendawazimu, mmoja akigoma wengine watashiriki uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,


Katibu wa Siasa Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Mohamed Msalu amesema kuwa nchi ya Tanzania ni ya vyama vingi hivyo linapokuja swala la uchaguzi ni lazima ufanyike kwa mujibu wa taratibu za uchaguzi hata kama chama kimojawapo cha siasa kitasusia kushiriki uchaguzi huo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema kuwa kama kuna chama kitakataa kuingia kwenye uchaguzi kikidai kuwa kimeona kasoro lakini vyama vingine vikaona hakuna kasoro basi uchaguzi utafanyika.

Ameeleza hayo leo Jumatano February 12, 2025 alipokuwa akizungumza kwenye semina ya mafunzo kwa viongozi wa chama na makada wa CCM ambao walichaguliwa katika uchaguzi wa Vijiji na Serikali za Mitaa katika Kata ya Mnadani Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro.
 
CDM shikilieni hapo hapo..toeni ELIMU kwanini mnasema hivyo....WATAELEWA TU WATANGANYIKA NA WATAWAUNGA MKONO
 
Yule Jamaa Mwanaharakati Huru alishawatahadharisha kuwa Chadema chini ya Mh Lissu siyo ya kitoto wala mizaha. Anakubalika ndani na nje ya Chama Chake. Anakubalika ndani na nje ya nchi. Hivyo CCM isicheze michezo yake ya siku zote.
 
Lissu na Chadema kazieni hapo hapo kwenye mshono.

Wameshajaa hawa. Haya matamko inaonesha kabisa mmepiga kwenyewe na kipindi sahihi.
 
Kwa kweli ni porojo. SM wamepigwa 5G hata hawazungumzii 🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu,


Katibu wa Siasa Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Mohamed Msalu amesema kuwa nchi ya Tanzania ni ya vyama vingi hivyo linapokuja swala la uchaguzi ni lazima ufanyike kwa mujibu wa taratibu za uchaguzi hata kama chama kimojawapo cha siasa kitasusia kushiriki uchaguzi huo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema kuwa kama kuna chama kitakataa kuingia kwenye uchaguzi kikidai kuwa kimeona kasoro lakini vyama vingine vikaona hakuna kasoro basi uchaguzi utafanyika.

Ameeleza hayo leo Jumatano February 12, 2025 alipokuwa akizungumza kwenye semina ya mafunzo kwa viongozi wa chama na makada wa CCM ambao walichaguliwa katika uchaguzi wa Vijiji na Serikali za Mitaa katika Kata ya Mnadani Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro.
Hawa wajinga waache kudhani ajenda ya katiba mpya ni ya CHADEMA
 
Wakuu,


Katibu wa Siasa Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Mohamed Msalu amesema kuwa nchi ya Tanzania ni ya vyama vingi hivyo linapokuja swala la uchaguzi ni lazima ufanyike kwa mujibu wa taratibu za uchaguzi hata kama chama kimojawapo cha siasa kitasusia kushiriki uchaguzi huo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema kuwa kama kuna chama kitakataa kuingia kwenye uchaguzi kikidai kuwa kimeona kasoro lakini vyama vingine vikaona hakuna kasoro basi uchaguzi utafanyika.

Ameeleza hayo leo Jumatano February 12, 2025 alipokuwa akizungumza kwenye semina ya mafunzo kwa viongozi wa chama na makada wa CCM ambao walichaguliwa katika uchaguzi wa Vijiji na Serikali za Mitaa katika Kata ya Mnadani Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro.
Tunafahamu kuwa vipo vyama vyao vya mfukoni au vyama matawi ya ccm lakini haviwezi kuzuia madai ya chaguzi huru na za haki.
Kushiriki kudai haki ni ibada kwetu kwa sababu Mungu wetu ni wa haki
 
Mwenezi wa CCM Kilimanjaro Yuko sahihi vyama vya Tanzania viko Kibao sio Chadema tu wao sio special species bunge likivunjwa tu vyama vyote viko sawa sababu ni new election hakuna cha chama chenye wabunge wengi au wachache vyote vinakuwa sawa sababu ni new chapter ya vyama vyote .

Chadema haiwezi sema sisi tunasema wakati bunge likivunjwa hakina mbunge hata mmoja

Kifupi Lisu hajielewi baada ya bunge kuvunjwa yeye na Chadema yake hawawezi buruza chama chochote kiwe CCM au Chauma au tume ya uchaguzi kuwa uchaguzi usifanyoke ubavu huo hawana .Wao kama nani labda? Wakati kipindi hicho vyama vyote viko sawa mbele ya tume ya uchaguzi?
 
Back
Top Bottom