Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar Es Salaam Hussein Egobano amewataka vijana wa umoja huo kufanya kazi ya kukijenga chama na kuacha kujiingiza kwenye kile alichokiita harakati za CCM.
Akizungumza leo Februari 01, 2025 katika Kongamano Maalum la Vijana Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM amesema “nataka niwaambie vijana wenzangu nyinyi wasomi kesho yenu ni njema kuliko leo, achaneni na harakati za Chama cha Mapinduzi nendeni mkakijenge chama katika maeneo yenu”
Egobano ameonya kuwa kumezuka tabia ya UVCCM kujiita usalama wa taifa jambo ambalo sio sahihi ”vijana wa CCM siku hizi mnajiita usalama wa taifa acheni hizo tabia labda muwe ni usalama wa Chama Cha Mapinduzi na usalama wenyewe utokane na mamlaka”
Hata sijamuelewa huyo katibu na sijua hata kama yeye anaelewa alichozungumza. Kila mtanzania ni usalama wa Taifa hili Mwenye jukumu la kumlinda mwenzake . Ndio maana tukiona hata mtu mgeni mtaani kwetu ni lazima tuanze kuulizana ni nani huyo na ametoka wapi na anaishi kwa nani na kapokelewa lini na anafanya shughuli gani.
Embu mwambie huyo katibu anipigie simu nimpe Somo na maelekezo.
Hata sijamuelewa huyo katibu na sijua hata kama yeye anaelewa alichozungumza. Kila mtanzania ni usalama wa Taifa hili Mwenye jukumu la kumlinda mwenzake . Ndio maana tukiona hata mtu mgeni mtaani kwetu ni lazima tuanze kuulizana ni nani huyo na ametoka wapi na anaishi kwa nani na kapokelewa lini na anafanya shughuli gani.
Embu mwambie huyo katibu anipigie simu nimpe Somo na maelekezo.
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar Es Salaam Hussein Egobano amewataka vijana wa umoja huo kufanya kazi ya kukijenga chama na kuacha kujiingiza kwenye kile alichokiita harakati za CCM.
Akizungumza leo Februari 01, 2025 katika Kongamano Maalum la Vijana Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM amesema “nataka niwaambie vijana wenzangu nyinyi wasomi kesho yenu ni njema kuliko leo, achaneni na harakati za Chama cha Mapinduzi nendeni mkakijenge chama katika maeneo yenu”
Egobano ameonya kuwa kumezuka tabia ya UVCCM kujiita usalama wa taifa jambo ambalo sio sahihi ”vijana wa CCM siku hizi mnajiita usalama wa taifa acheni hizo tabia labda muwe ni usalama wa Chama Cha Mapinduzi na usalama wenyewe utokane na mamlaka”
Kwenye kutafuta fwedha,mi ccm inafanya umafia kila sekta, watu wanakula kwa urefu wa namba, hao madogo wanaiga kwa wakubwa wao,
Soko linachomwa kuhsribu ushaidi, Samia anajua, anapiga kimya!
Ofisi ya TRA inachomwa, kuficha ushaidi, ikulu kimya!
Watu wanafoji vitambulisho vya agency pekee yenye kazi ya kutafuta ujasusi! Ikulu kimya!
What else can these ccm mothafuckers do!
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar Es Salaam Hussein Egobano amewataka vijana wa umoja huo kufanya kazi ya kukijenga chama na kuacha kujiingiza kwenye kile alichokiita harakati za CCM.
Akizungumza leo Februari 01, 2025 katika Kongamano Maalum la Vijana Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM amesema “nataka niwaambie vijana wenzangu nyinyi wasomi kesho yenu ni njema kuliko leo, achaneni na harakati za Chama cha Mapinduzi nendeni mkakijenge chama katika maeneo yenu”
Egobano ameonya kuwa kumezuka tabia ya UVCCM kujiita usalama wa taifa jambo ambalo sio sahihi ”vijana wa CCM siku hizi mnajiita usalama wa taifa acheni hizo tabia labda muwe ni usalama wa Chama Cha Mapinduzi na usalama wenyewe utokane na mamlaka”