Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala, M/kiti wa Wazazi Wilaya na Mbunge mmeharibu uchaguzi Ukonga na kusababisha fujo zinazoendelea

Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala, M/kiti wa Wazazi Wilaya na Mbunge mmeharibu uchaguzi Ukonga na kusababisha fujo zinazoendelea

Acholile

Member
Joined
May 30, 2022
Posts
90
Reaction score
59
Mpaka usiku huu mkubwa bado watu wanatupigia makelele kisa kudhulumiwa matokeo au kukataa kutolewa matokeo kwa uongo wa simu /maelekezo kutoka juu.

Maelekezo yenyewe yana kanganya hivyo huenda hayajatoka juu.
Kata ya Ukonga wamelazimisha kupita Batenga ilhali haishi ukonga. Mgombea mwenzake wa uenyekiti kakatwa jina siku ya uchaguzi eti maelekezo ya simu (wakati alikuwa mwiba kwa pandikizi la mh.Mbunge).
Hivyo hivyo kwa Katibu wa Kata ; hakuna anayemuhitaji, haki ingetendeka angepata kura yake tu.

Kituko zaidi ni Kata ya Majohe; msimamizi anahesabe kura 400 tangu tar 7.8.2022 saa sita mchana hadi muda huu HAJAMALIZA.

WAMEMFUNGIA BWELA HALL BAADA YA KUTAKA KUONDOKA BILA KUTANGAZA MATOKEO.
Karibu Ukonga na Ilala yote hakuna utuluvu; kisa maelekezo.
Maelekezo ya hivi sidhani kama kweli yanatoka juu, labda Mh Chongolo (Km taifa ) , Mwenezi Shaka na Mwenyekiti walitolee ufafanuzi.

Tanbihi:
Mwenezi Shaka-Zulu , Shaka23 , @Chongolo na M/kiti ; Shughulikieni hili kwani Limeshafika Mezani kweni ila mmetulia . Hivyo kunyamaza kwenu kunazua sintofahamu kwa CCM Ukonga na Wilaya ya Ilala kwa ujumla na maeneo mengine ya nchi yenye changamoto za kujipanga kwa 2025.
Hii ni Kata ya Majohe mida hii
 
Hao wakifika uchaguzi mkuu wa NEC watakuwa fair kweli?
Tabia ni kama rangi ya ngozi, wamejifunza wizi tangu wakiwa vijana sasa wanazeeka wakiiba.

Nawaonea huruma watoto wajao wa nchi hii wanaokua wakishuhudia wizi unaofanywa na viongozi, nadhani kizazi kijacho kitajaa majizi matupu.
 
Mpaka usiku huu mkubwa bado watu wanatupigia makelele kisa kudhulumiwa matokeo au kukataa kutolewa matokeo kwa uongo wa simu /maelekezo kutoka juu.

Maelekezo yenyewe yana kanganya hivyo huenda hayajatoka juu.
Kata ya Ukonga wamelazimisha kupita Batenga ilhali haishi ukonga. Mgombea mwenzake wa uenyekiti kakatwa jina siku ya uchaguzi eti maelekezo ya simu (wakati alikuwa mwiba kwa pandikizi la mh.Mbunge).
Hivyo hivyo kwa Katibu wa Kata ; hakuna anayemuhitaji, haki ingetendeka angepata kura yake tu.

Kituko zaidi ni Kata ya Majohe; msimamizi anahesabe kura 400 tangu tar 7.8.2022 saa sita mchana hadi muda huu HAJAMALIZA.

WAMEMFUNGIA BWELA HALL BAADA YA KUTAKA KUONDOKA BILA KUTANGAZA MATOKEO.
Karibu Ukonga na Ilala yote hakuna utuluvu; kisa maelekezo.
Maelekezo ya hivi sidhani kama kweli yanatoka juu, labda Mh Chongolo (Km taifa ) , Mwenezi Shaka na Mwenyekiti walitolee ufafanuzi.

Tanbihi:
Mwenezi Shaka-Zulu , Shaka23 , @Chongolo na M/kiti ; Shughulikieni hili kwani Limeshafika Mezani kweni ila mmetulia . Hivyo kunyamaza kwenu kunazua sintofahamu kwa CCM Ukonga na Wilaya ya Ilala kwa ujumla na maeneo mengine ya nchi yenye changamoto za kujipanga kwa 2025.
Hii ni Kata ya Majohe mida hii
Wewe ulitaka apite Nani?Batenga anaishi Mtaa unaitwaje?Unamjua vyema huyo Batenga??
Uenyekiti wa CCM Kata ya Ukonga
Batenga 116
Chamuya 43
Hidaya 2
 
Mmeona wizi wa kura unavyouma dadeq
 
Wewe ulitaka apite Nani?Batenga anaishi Mtaa unaitwaje?Unamjua vyema huyo Batenga??
Uenyekiti wa CCM Kata ya Ukonga
Batenga 116
Chamuya 43
Hidaya 2
Simjui ila namfahamu.
Nimesoma nae Primary na Secondary shule ilivyomshinda. Yeye akiishi kwa mzee Mstaarabu kwao vikota vya bandari (near by Alharamain Sec., sasa ndio kituo cha mwendokasi Gerezani ) Zamani aliishi kwa Kaka yake Ayubu (Mhasibu msomi na diwani Arusha )! Alishawaji kuwa Mwenyekiti kata kabla ya kumzingua kaka yake na kumtimua, akahama ukonga akapata jimama likawa linamlea; sababu huwa hafanyi kazi yeyote (muhaya wa kwanza kuwa minutes na kututia aibu wahaya)!
2010 jimama likamtimua Mario.
2019 akapata mdada mwingine ana biashara zake wa kumlea (Marioo wa kihaya) akaishi nyumbani kwa mpenzi huyu Tabata. 2020 alipandikizwa na Jerry agombee aongeze idadi. Kwa njaa akakubali.
Baada ya uchaguzi yule dada (ukitaka tukutajie majina ya wadada na wanakofanya kazi tutakutajia) akamfukuza, yeye anamlisha alafu akienda kazini Batenga akawa anahonga hadi vitu vya ndani, aka inua manyanga, akamtimua Tabata ktk nyumba yake Jan 2021.
Nyumbani kwa zamani kwa kaka yake alishapigwa marufuku kufika, hawataki kufuga mjinga.
Akatokelea Yanga kwenye Kamati.
Note: Asingetoa 1mil. Aliyemuweka kwa KM CCM Ilala ili majina ya competent yakatwe, asingepata kura hata 5.
Ukitaka tumfafanue ndani nje sema mkuu , HATUBAHATISHI
 
Simjui ila namfahamu.
Nimesoma nae Primary na Secondary shule ilivyomshinda. Yeye akiishi kwa mzee Mstaarabu kwao vikota vya bandari (near by Alharamain Sec., sasa ndio kituo cha mwendokasi Gerezani ) Zamani aliishi kwa Kaka yake Ayubu (Mhasibu msomi na diwani Arusha )! Alishawaji kuwa Mwenyekiti kata kabla ya kumzingua kaka yake na kumtimua, akahama ukonga akapata jimama likawa linamlea; sababu huwa hafanyi kazi yeyote (muhaya wa kwanza kuwa minutes na kututia aibu wahaya)!
2010 jimama likamtimua Mario.
2019 akapata mdada mwingine ana biashara zake wa kumlea (Marioo wa kihaya) akaishi nyumbani kwa mpenzi huyu Tabata. 2020 alipandikizwa na Jerry agombee aongeze idadi. Kwa njaa akakubali.
Baada ya uchaguzi yule dada (ukitaka tukutajie majina ya wadada na wanakofanya kazi tutakutajia) akamfukuza, yeye anamlisha alafu akienda kazini Batenga akawa anahonga hadi vitu vya ndani, aka inua manyanga, akamtimua Tabata ktk nyumba yake Jan 2021.
Nyumbani kwa zamani kwa kaka yake alishapigwa marufuku kufika, hawataki kufuga mjinga.
Akatokelea Yanga kwenye Kamati.
Note: Asingetoa 1mil. Aliyemuweka kwa KM CCM Ilala ili majina ya competent yakatwe, asingepata kura hata 5.
Ukitaka tumfafanue ndani nje sema mkuu , HATUBAHATISHI
Wakati anatoa hiyo 1M wewe ulikuwepo ukakaa kimya?? Na Pia ametoa Rushwa kuwa Mwanakamati wa Yanga?? Na pia alitoa Rushwa hili asome chuo baada ya Kufeli Shule mliyosoma wote? Na hiyo 1M aliotoa awe Mwenyekiti wa CCM Ukonga Kahongwa na Jimama?
 
Wakati anatoa hiyo 1M wewe ulikuwepo ukakaa kimya?? Na Pia ametoa Rushwa kuwa Mwanakamati wa Yanga?? Na pia alitoa Rushwa hili asome chuo baada ya Kufeli Shule mliyosoma wote? Na hiyo 1M aliotoa awe Mwenyekiti wa CCM Ukonga Kahongwa na Jimama?
Tulia dogo , unamvua nguo marioo wetu.
Rushwa atoe hela anaipatia wapi ?
Si ulizani hatumfahamu bradfaken.
Unaambiwa hana njuruku analelewa ANATOAJE RUSHWA, HUYU ANATOLEWA !
Au tukwambie kwa nini anatolewa rushwa na wanaotafuta fedha ?
Ushaambiwa katimuliwa kitambo na jimama Tabata, anampaje hela tena ?? Chutama tuu bro. Hatubahatishi nilikwambia.
By ze way kachek malaria kwanza.
One wanaume wanavyomuangalia..... Tukwambie siri ya urembo ?!?
FB_IMG_1659933591870.jpg
 
Tulia dogo , unamvua nguo marioo wetu.
Rushwa atoe hela anaipatia wapi ?
Si ulizani hatumfahamu bradfaken.
Unaambiwa hana njuruku analelewa ANATOAJE RUSHWA, HUYU ANATOLEWA !
Au tukwambie kwa nini anatolewa rushwa na wanaotafuta fedha ?
Ushaambiwa katimuliwa kitambo na jimama Tabata, anampaje hela tena ?? Chutama tuu bro. Hatubahatishi nilikwambia.
By ze way kachek malaria kwanza.
One wanaume wanavyomuangalia..... Tukwambie siri ya urembo ?!?
Siku zote Silaha ya Mwisho ni Kusema Watu kuwa ni Mash😳GA:: One wanaume wanavyomuangalia.....: Nakuuliza uniambie wewe unaemjua Batenga Kindaki ndaki Hiyo milioni 1 aliotoa kama rushwa ili CCM wampitishe kapewa na nani??
 
Siku zote Silaha ya Mwisho ni Kusema Watu kuwa ni Mash😳GA:: One wanaume wanavyomuangalia.....: Nakuuliza uniambie wewe unaemjua Batenga Kindaki ndaki Hiyo milioni 1 aliotoa kama rushwa ili CCM wampitishe kapewa na nani??
Kumbe. Asante kwa kutujuza wana jamvi.
Sisi tulijua ni uvivu tu, lol Ahsante ! Basi mtetezi wa mashoga..... ndio maana unauliza majibu. Rudia comment ya kwanza ilishajibiwa. (Read btn lines) ndio maana nikakushauri ukapime/chek malaria, hukujua nilimaanisha nini.

Acha kuchosha ma great Thinkers.

Etc, "naomba unijuze hiyo mil 1 aliotoa (duh, mbinguni utaanzia chekechea; aliotoa)! Ila una vituko Mwaisa ulisema hatumjui, unasema tunamjua kindaki ndaki (Ngoswe: Penzi Kitovu Cha Uzembe)
Tulia unaendelea kumdhalilisha "mwenzio"

Main point ni UCHAFUZI WA UCHAGUZI, hii ya kunadi kazi zenu na mwenzio, ANZISHA THREAD UMTANGAZIE BIASHARA BASI SIO KWENYE THREAD ZA WATU. ANZISHA UZI
 
2025 ndiyo picha wanayotuonyesha hawajifunzi kwa Kenya
Vichwa vyenyewe hivi vya akina Chipukizi kuna kujifunza. Anaulizwa Umekula ugali anajibu mama kasafiri !! Akiulizwa mama yuko wapi ndio atajibu sijala ugali. Tuna safari ndefu sana Mkuu
 
Mpaka usiku huu mkubwa bado watu wanatupigia makelele kisa kudhulumiwa matokeo au kukataa kutolewa matokeo kwa uongo wa simu /maelekezo kutoka juu.

Maelekezo yenyewe yana kanganya hivyo huenda hayajatoka juu.
Kata ya Ukonga wamelazimisha kupita Batenga ilhali haishi ukonga. Mgombea mwenzake wa uenyekiti kakatwa jina siku ya uchaguzi eti maelekezo ya simu (wakati alikuwa mwiba kwa pandikizi la mh.Mbunge).
Hivyo hivyo kwa Katibu wa Kata ; hakuna anayemuhitaji, haki ingetendeka angepata kura yake tu.

Kituko zaidi ni Kata ya Majohe; msimamizi anahesabe kura 400 tangu tar 7.8.2022 saa sita mchana hadi muda huu HAJAMALIZA.

WAMEMFUNGIA BWELA HALL BAADA YA KUTAKA KUONDOKA BILA KUTANGAZA MATOKEO.
Karibu Ukonga na Ilala yote hakuna utuluvu; kisa maelekezo.
Maelekezo ya hivi sidhani kama kweli yanatoka juu, labda Mh Chongolo (Km taifa ) , Mwenezi Shaka na Mwenyekiti walitolee ufafanuzi.

Tanbihi:
Mwenezi Shaka-Zulu , Shaka23 , @Chongolo na M/kiti ; Shughulikieni hili kwani Limeshafika Mezani kweni ila mmetulia . Hivyo kunyamaza kwenu kunazua sintofahamu kwa CCM Ukonga na Wilaya ya Ilala kwa ujumla na maeneo mengine ya nchi yenye changamoto za kujipanga kwa 2025.
Hii ni Kata ya Majohe mida hii
Wale wanaopiga kura kwa kujipanga nyuma ya mgombea mliona wajinga mkataka kura ya siri, sasa sirini kunawatafuna
 
Back
Top Bottom