Katika AFCON ya mwaka huu ni timu ipi ina mpira mzuri mno wa kuvutia na mnene?

Katika AFCON ya mwaka huu ni timu ipi ina mpira mzuri mno wa kuvutia na mnene?

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Kwa wale waliobahatika kuangalia mechi karibu zote za AFCON ya mwaka huu tu 2022, ni timu ipi kwa upande wako inayocheza mzuri, mnene, wa kuvutia kiasi kwamba hutoki kwenye siti

Kama hujabahatika kuangalia mpira, basi usome tu jinsi michango ya waliobahatika kuangalia mechi mbalimbali za michuano hii wanavyoshuka

Kwa mimi binafsi naona Ivory Coast wana mpira mzuri sana wa kimahesabu sana

Karibuni
 
Guinea ya Ikweta

Pablo Ganet
Josete Miranda
Machin
Carlos Akapo
Saul Coco
And the man himself Iban Edu

walikosa physique tu ya kuwahimili senegal ila soka la mipango walicheza hasa na hawabutui
 
Back
Top Bottom