Katika ajali ya ndege Iliyotokea juzi CCM imeonesha kwanini ni Chama Tawala mpaka leo na kwanini CHADEMA imeshindwa hata kupaka rangi ofisi zake

Kasi ya ongezeko la wapumbvu kwenye nchi hii ni kubwa sana.
Ni ujinga mtu au chama katika Jambo linalogusa hisia za watu wote halafu wao chadema wanaleta siasa zao za matukio kujitafutia umaarufu Kati Kati ya majonzi na huzuni
 
Eh kwani wamefanya nini pale
Kwenye uokoaji
Au unasema walivyosimamia mazishi

Ova
Wameshiriki katika Hatua zote Hadi mwishoni wakati wao chadema wameshiriki kufanyia siasa ajali Ile iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu
 
Creche.....
 
Nonsense.
 
Hii inaonyesha kiwango Cha uwezo wako Mdogo wa ku-analyse issues kama hizi. Hivi wewe huoni udhaifu wa vyombo vya serikali ya Chama chako. Usifanye Watanzania wote kuwa ni wajinga!
 
Hii inaonyesha kiwango Cha uwezo wako Mdogo wa ku-analyse issues kama hizi. Hivi wewe huoni udhaifu wa vyombo vya serikali ya Chama chako. Usifanye Watanzania wote kuwa ni wajinga!
unafikiri tungefika hapa tukiwa imara Kama tungekuwa na vyombo dhaifu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…