Kenya 2022 Katika chaguzi za Kenya, chama upinzani hakijawahi kushinda uchaguzi

Kenya 2022 Katika chaguzi za Kenya, chama upinzani hakijawahi kushinda uchaguzi

Kenya 2022 General Election

Lubebenamawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2014
Posts
1,973
Reaction score
2,239
Habari wakuu,
Moja kwa moja kwenye mada, Kenya tangu enzi KANU hakuna chama cha upinzani kilichofanikiwa kushinda uchaguzi.
Kidemokrasia Kenya na Tanzania hatuna tofauti. Katika nchi zote mbili chaguzi huwa zinakuwa na figisu sana. Tofauti ni kwa Tanzania figisu za Tanzania zinakuwa wazi lakini za Kenya hufanyika kwa kufunikwa.
Najua mtabisha ni bora mkabisha kwa hoja na ushahidi.
 
Habari wakuu,
Moja kwa moja kwenye mada, Kenya tangu enzi KANU hakuna chama cha upinzani kilichofanikiwa kushinda uchaguzi.
Kidemokrasia Kenya na Tanzania hatuna tofauti. Katika nchi zote mbili chaguzi huwa zinakuwa na figisu sana. Tofauti ni kwa Tanzania figisu za Tanzania zinakuwa wazi lakini za Kenya hufanyika kwa kufunikwa.
Najua mtabisha ni bora mkabisha kwa hoja na ushahidi.


Tatizo la watoto hujui jamii kwani Mwai kibaki alikuwa KANU au haujui kama alimshinda Rais Moi😂
 
Tatizo la watoto huju jamii kwani Mwai kibaki alikuwa KANU au haujui kama alimshinda Raisi Moi[emoji23]
Kenya vyama hubadilika wakati wa uchaguza lakini wahusika huwa ni walewale na hapo ndipo inapokuwa kiini macho. Mwai Kibaki hakuwahi kumshinda Moi, bali alimshinda Kenyatta aliyekuwa chaguo la Moi kupitia NARC kumbuka ilikuwa chota watu wengi sana kutoka KANU hasa waliochukizwa na hatua ya Moi kumrithisha Uhuru Kenyata.

Kumbuka tena Mwai Kibaki kuungana na Kenyatta na akamwachia urais.

Hata huku kukosana kwa Ruto na Kenyatta ilikuwa ni igizo la kumzubaisha Raila.
 
Tatizo la watoto huju jamii kwani Mwai kibaki alikuwa KANU au haujui kama alimshinda Raisi Moi😂
Kibaki alimshinda mgombea wa Kanu Mh. Uhuru Kenyatta mwaka 2002 sio Rais Moi.
 
Back
Top Bottom