Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Aug 7, 2024 #1 Jafo anasema Rais Samia ameongeza viwanda 18000 elfu kumi na nane! Je katika katika context ya Tanzania kiwanda ninini?
Jafo anasema Rais Samia ameongeza viwanda 18000 elfu kumi na nane! Je katika katika context ya Tanzania kiwanda ninini?
mshamba_mwingine JF-Expert Member Joined Jul 23, 2023 Posts 1,057 Reaction score 4,145 Aug 7, 2024 #2 taasisi inayotengeneza bidhaa kutokana na malighafi fulani
Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Aug 7, 2024 Thread starter #3 mshamba_mwingine said: taasisi inayotengeneza bidhaa kutokana na malighafi fulani Click to expand... Kinatakiwa kiwe na ukubwa gani? Au uzalishaji wa extent ipi ili kiitwe kiwanda?
mshamba_mwingine said: taasisi inayotengeneza bidhaa kutokana na malighafi fulani Click to expand... Kinatakiwa kiwe na ukubwa gani? Au uzalishaji wa extent ipi ili kiitwe kiwanda?
J Jantisa Member Joined Feb 13, 2023 Posts 51 Reaction score 47 Aug 7, 2024 #4 Kiwanda ni mahali ambapo bidhaa zinatengenezwa kutokana na malighafi ..kinaweza kuwa kiwanda kidogo kama cha kutengeneza tofali,kusaga unga, kusaga mpunga kuwa Mchele na kadharika Pia kinaweza kuwa kikubwa kama viwanda vya magari, mitambo
Kiwanda ni mahali ambapo bidhaa zinatengenezwa kutokana na malighafi ..kinaweza kuwa kiwanda kidogo kama cha kutengeneza tofali,kusaga unga, kusaga mpunga kuwa Mchele na kadharika Pia kinaweza kuwa kikubwa kama viwanda vya magari, mitambo
PakiJinja JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 11,689 Reaction score 25,848 Aug 7, 2024 #5 Superbug said: Jafo anasema Rais Samia ameongeza viwanda 18000 elfu kumi na nane! Je katika katika context ya Tanzania kiwanda ninini? Click to expand... Vyerehani vinne
Superbug said: Jafo anasema Rais Samia ameongeza viwanda 18000 elfu kumi na nane! Je katika katika context ya Tanzania kiwanda ninini? Click to expand... Vyerehani vinne
mshamba_mwingine JF-Expert Member Joined Jul 23, 2023 Posts 1,057 Reaction score 4,145 Aug 7, 2024 #6 Superbug said: Kinatakiwa kiwe na ukubwa gani? Au uzalishaji wa extent ipi ili kiitwe kiwanda? Click to expand...
Superbug said: Kinatakiwa kiwe na ukubwa gani? Au uzalishaji wa extent ipi ili kiitwe kiwanda? Click to expand...
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Aug 7, 2024 #7 PakiJinja said: Vyerehani vinne Click to expand... Hiki Ndicho Kiwanda Alichotuachia Mzilankende Mpaka Kesho Tunadunda Na Cherehani 4
PakiJinja said: Vyerehani vinne Click to expand... Hiki Ndicho Kiwanda Alichotuachia Mzilankende Mpaka Kesho Tunadunda Na Cherehani 4