Katika context ya Tanzania kiwanda ni nini?

Kiwanda ni mahali ambapo bidhaa zinatengenezwa kutokana na malighafi ..kinaweza kuwa kiwanda kidogo kama cha kutengeneza tofali,kusaga unga, kusaga mpunga kuwa Mchele na kadharika
Pia kinaweza kuwa kikubwa kama viwanda vya magari, mitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…