Katika duka la mahitahi ya watoto, kitu gani kisikosekane dukani?

Katika duka la mahitahi ya watoto, kitu gani kisikosekane dukani?

ANKO JEI

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
1,302
Reaction score
2,462
Habari wakuu

Naimani wote mko salama, Mungu anazidi kutuonyesha upendo wake. Nimekuja kwenu kuomba msaada kuhusu duka la vifaa vya watoto.

Kwa muda sasa Mama yangu amekuwa akipenda sana hii biashara, lakini nikawa siwezi kumsaidia lolote kutokana na kipato kidogo, lakini mwaka huu nimesave na nikaona ni wakati bora wa kumfungulia biashara hii pia nimefanya utafiti nikaona fursa ipo

Nimekuja mbele yenu,wazazi, wafanya biashara na wenye uelewa na hii biashara, mnisaidie ushauri wowote na pia bila kusahau orodha ya bidhaa ambazo zisikose dukani

Ninaposema mahitaji ya watoto namaanisha, vitu kama mafuta, sabuni, diapers, vitambaa, maziwa na vingine vingi

Mtaji wangu wa kuanzia ni 2 Milions, mlango wa biashara upo sehemu nzuri tu pembeni ya barabara.

Karibuni wadau mnisaidie kumvusha bimkubwa kwenye ndoto yake.
 
Vinguo vya watoto ....vya kichanga kabisa vile... babyshow....dishi la kuogeshea usisahau .....but kwenye diapers kuwa Makin kuangalia zina expire Lin..na brand gani inapendwa mojawapo ni sleepy
 
Receiving blankets,
Newborn package
anaweza itengeneza mwenyewe tu.

vyombo vya kulishia
Newborn clothes
vifaa vya usafi vya mtoto
n.k
Asante kwa mchango wako,pia naomba unieleweshe hiyo package inakaaje yani mfano tu.
 
Vinguo vya watoto ....vya kichanga kabisa vile... babyshow....dishi la kuogeshea usisahau .....but kwenye diapers kuwa Makin kuangalia zina expire Lin..na brand gani inapendwa mojawapo ni sleepy
Nashukuru sana kwa mchango wako umenipa mwangaza
 
pampasi
lactogen
hizi mambo ndio zinanitoa jasho kwa kabinti kangu kachanga
 
Habari wakuu

Naimani wote mko salama, Mungu anazidi kutuonyesha upendo wake. Nimekuja kwenu kuomba msaada kuhusu duka la vifaa vya watoto.

Kwa muda sasa Mama yangu amekuwa akipenda sana hii biashara, lakini nikawa siwezi kumsaidia lolote kutokana na kipato kidogo, lakini mwaka huu nimesave na nikaona ni wakati bora wa kumfungulia biashara hii pia nimefanya utafiti nikaona fursa ipo

Nimekuja mbele yenu,wazazi, wafanya biashara na wenye uelewa na hii biashara, mnisaidie ushauri wowote na pia bila kusahau orodha ya bidhaa ambazo zisikose dukani

Ninaposema mahitaji ya watoto namaanisha, vitu kama mafuta, sabuni, diapers, vitambaa, maziwa na vingine vingi

Mtaji wangu wa kuanzia ni 2 Milions, mlango wa biashara upo sehemu nzuri tu pembeni ya barabara.

Karibuni wadau mnisaidie kumvusha bimkubwa kwenye ndoto yake.
Ben ten
 
Back
Top Bottom