Katika elimu ya anga nje ya dunia kuna daiwa kugundulika shimo kubwa ambalo linaweza kumeza nyota zote mpaka galaxy yetu.

Katika elimu ya anga nje ya dunia kuna daiwa kugundulika shimo kubwa ambalo linaweza kumeza nyota zote mpaka galaxy yetu.

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Elimu ya anga naona teknolojia za AI na mahesabu kuchanganuliwa kwa haraka kumekuwa na ugunduzi mkubwa sana kuhusu upatikanaji wa sayari mpya na nyota mpya ambazo ni kama ndoto kwa habari.

Wanasayansi wamegundua moja ya mashimo makubwa nje ya ulimwengu kama yakiwa kwenye galaxy yetu basi ni kufutika sekunde.

Shimo ilo kwa jina black hole TON 618.

IMG_0513.jpeg
 
Back
Top Bottom