Katika harakati zako za mahusiano ya kimahusiano, ni tukio lipi huwezi kusahau?

Katika harakati zako za mahusiano ya kimahusiano, ni tukio lipi huwezi kusahau?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
katika harakati za mahusiano, uchumba na pengine ndoa, kuna visa na mikasa mbalimbali hutokea, mingine ya kufedhehesha na ya aibu, ya kutia moyo, nguvu na ya kukatisha tamaa...

Ni mkasa au kisa kipi huwezi kisahau kwa kufupi? Na kisa hicho kilikupa nguvu au kilikukatisha tamaa?:DisGonBGud:
 
Dem wangu kumgharamia kila kitu akiniaga kuwa anakwenda kumtembelea shangazi yake jijini Dar es salaam kumbe anaenda kuolewa na mtu aliyekuwa anamnanga.

Halafu picha zikaingia kwenye Whatsapp nikiwa kwenye maandalizi ya UE.
 
Ungeanza kutueleza wewe mh. Mbunge mtarajiwa.
nilitolewa berenge mbaya sana usiku, na mama wa binti niliekua namfukuzia baada ya huyo maza kushtukia kwamba mimi sikua mlevi wala, mnywa pombe pale kilabuni kwao, nyumbani, bali nilikua nammendea binti yake tu,

maza alienda kushtaki hadi shule ya kata niliyokua nasoma, lakini akashindwa kunitambua kwenye parade la ukaguzi na utambuzi wa wazi pale shuleni,

naishukuru sana ile pisi kali kwa kunisitiri kwa kunikana waziwazi kwamba hakua ananijua, licha ya kwamba ni yenye ndie alieniita kilabuni kwao kwamba nizuge kama nakunywa kunywa, kuvuta muda kidogo, pakitulia wateja wakipungua nisepe nae magetoni, kumbea maza aliusoma mchezo kitambo sana...

vinginevyo ningepoteza masomo shuleni, wananchi kule jimbomi wangekosa kiongozi makini, na humu JF huenda nisingekua mtu wa watu, wa aina hii, dah....

ile pisi iko kanda ya ziwa bana inaendelea na shughuli zake tu... :DisGonBGud:
 
Dem wangu kumgharamia kila kitu akiniaga kuwa anakwenda kumtembelea shangazi yake jijini Dar es salaam kumbe anaenda kuolewa na mtu aliyekuwa anamnanga.

Halafu picha zikaingia kwenye Whatsapp nikiwa kwenye maandalizi ya UE.
oyaaah
 
Dem wangu kumgharamia kila kitu akiniaga kuwa anakwenda kumtembelea shangazi yake jijini Dar es salaam kumbe anaenda kuolewa na mtu aliyekuwa anamnanga.

Halafu picha zikaingia kwenye Whatsapp nikiwa kwenye maandalizi ya UE.
hilo lilikua zaidi ya konzi la utosi mapenzini dah!🐒
 
Matukio ni mengi, tatizo sina wakili, wanawake tuliozinguana kimapenzi sasa hivi wako kwenye maamuzi, wasije wakanifunga bure!

Nalog off
 
Kusex na muathirika alijijua na lengo lake kuniambukiza mpaka leo anahis ameniambukiza akiniona anawas was anajua nitamchinja kumbe niliruka mtego huo maana mimi cell zangu hazina receptor za kupokea virus wa h.i.v ila nikikumbuka daaah
 
Vijana kuweni makini sio kila pussy ya kuingia kavu.
20240709_001138.jpg
 
Dem wangu kumgharamia kila kitu akiniaga kuwa anakwenda kumtembelea shangazi yake jijini Dar es salaam kumbe anaenda kuolewa na mtu aliyekuwa anamnanga.

Halafu picha zikaingia kwenye Whatsapp nikiwa kwenye maandalizi ya UE.
Maumivu yake hata ukimuona daktari haisaidii
 
Demu wangu kuniambia nimtie mkunduni na nlijaribu japo skuchukua round nikamwaga bdae akanambia alikuwa anaskia utamu sn sa mbona nlifanya kdogo tu nikaacha.
Hakuna hata tafsida mzee😂😂😂😂😂😂😂
 
Dem wangu kumgharamia kila kitu akiniaga kuwa anakwenda kumtembelea shangazi yake jijini Dar es salaam kumbe anaenda kuolewa na mtu aliyekuwa anamnanga.

Halafu picha zikaingia kwenye Whatsapp nikiwa kwenye maandalizi ya UE.
Hii ni ngumu kuikwepa maisha atatokea mmoja wa kukuimarisha na kukufanya mwanaume kamili
 
Back
Top Bottom