Katika hili la Ngorongoro tusimame na Serikali

Sheria ya haki ya mtanzania unaijua? Sitobaguliwa popote pale Tanzania. Unambaguaje kua si mzaliwa wa pale ilhali ni raia halali wa nchi?
Kwahiyo mtu akija kwako bila ridhaa utamkubalia aishi kwako na kutumia kila kilicho chako? Wewe vipi au nawewe ndiyo wale wale, kuna watu waliingia Tz 1972 kama wakimbizi miaka hii yakaribuni waliomba uraia wapo waliopewa, sasa hao wanaokuja kufanya yao na kuondoka, eti unaijua Sheria ya ardhi unazani wote ni mauma eee utakuwa msomali wewe!
 
UMEANDIKA RUBBISH KABISA!!!!!!!

Wamasai wa Ngorongoro wameishi wanyama mwitu kabla hata ya ukoloni na Hakuna mnyama alopotezwa kwanza ni moja Kati ya natural wonder ya Afrika wanyama mwitu na binadamu kuishi pamoja.

Wamasai wa Ngorongoro sio tishio kwa Ecosystem, tishio siowamasai wa Zanzibar, Somalia na Msoga hawa hawapo hifadhini ila wanajua wanayoyafanya kwa maliasili zetu.
 
Haya mambo ya Ngorongoro yanahitaji kushughulikiwa kwa busara na kimya kimya zaidi.
Siyo rahisi kumtofautisha mmasai wa Tanzania na yule wa Kenya (mipaka iliyowekwa na wakoloni haitenganishi jamii).
Hata hivyo, serikali lazima ilinde watu wake na ardhi yao.
Kelele za majukwaaani na maandishi ya kipropaganda ilikuwa mbinu ya kizamani, sasa hivi vitendo vya kimya ni muhimu zaidi.
 
vibaraka wa mitandaoni na wake chadema uchwara muwe mnaconsult kabla ya kukurupukia mambo

Mkuu hivyo ndio mnavyotaka kila mtu aamini, lakini kwa bahati mbaya kila mtu ana aina yake ya uelewa. Jitahidini kukubali tofauti hizo.
 
Hata chadema iliwahi kuwapa nafasi ya kugombea

Hebu wataje hao wakenya waliopewa nafasi na cdm. Halafu unataka watu wasimame na serikali, kwani lini ww hujawahi kusimama na serikali kiasi kwamba unataka watu wasimame na serikali sasa? Isitoshe watu wasimame na serikali hii hii ya majizi ya kura?
 
Ahaaa! Kumbe,Tumewashiks kule Tanzanite wamehamia huku.....Nilivyo siwapendi hao Naenda hukohuko,Tutaelewana tu shenzi zao.
 
Umeamua kukwepa hoja niliyoleta wahedi
 
Mkuu hivyo ndio mnavyotaka kila mtu aamini, lakini kwa bahati mbaya kila mtu ana aina yake ya uelewa. Jitahidini kukubali tofauti hizo.
Si usome maandiko ya huyo seneta wa Narok halafu amini unachitaka kuamini
 
Hiki Ni kitabu au.......vipi naona Kama Kuna malipo kwa kazi hii. Kuhusu Biashara ya ngombe mbona Hata huku Mara tunawanenepeshea Wakenya na kuwauzia.
 
Kuwaunga mkono wanyang’anyi na wauaji??? si dhani kama utakuwa na akili timamu
 
Huko wanakopelekwa Wamasai mgogoro wa ardhi utaibuka tu baada ya muda mfupi.
 
ndefu sana summarize please, nimeishia njia ni! ! Basi kama wasema kweli serikali wafanye yao!
 
Kuna point naiona
Lakini ikiwa serikali ina haki subiri kesi yao ifikie mwisho hapo 22/06/2022
 
Gazeti linaongelea mgogoro wa Roliondo na KESI Iko mahakamani.

Wewe unaleta blaa blaa Eti Serikali iungwe mkono kupora Ardhi inayomilikiwa kihalali na WAMASAI😠😠

HAKIKA wamekwisha pokea UJIRA wao Kwa UOVU waliowatendea watu wa Mungu.


Limekwisha tokea ktk Ulimwengu wa ROHO na soon litaonekana ktk Ulimwengu wa mwili.
Amen
 
Inasikitisha sana na ahsante kwa taarifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…