Katika hili mimi nimeona madhara kwa afya ya binadam tu. Kwani kuna lingine?

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Mahala ambapo takataka zimemwagwa na hazijazolewa muda mrefu hupelekea harufu mbaya hata mlipuko wa magonjwa. Je kwenye eneo hilo kama kuna nguzo ya umeme nayo inaathirika? Tazama picha hapo chini.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…