johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Maisha ya mwanadamu ni mafupi hivyo tusimbeze yoyote anayeamua kuyalinda maisha yake na familia yake bila kuvunja sheria.
Hakuna ujasiri wowote wa mtu kufia bungeni eti anawakilisha wananchi waliomchagua, hiyo Johnthebaptist nakataa kabisa.
Kwa hili la Corona mashujaa ni wahudumu wa afya walio katika hatari ya kupata maambukizi wakati wakiokoa maisha ya watu walioathirika.
Maendeleo hayana vyama!
Hakuna ujasiri wowote wa mtu kufia bungeni eti anawakilisha wananchi waliomchagua, hiyo Johnthebaptist nakataa kabisa.
Kwa hili la Corona mashujaa ni wahudumu wa afya walio katika hatari ya kupata maambukizi wakati wakiokoa maisha ya watu walioathirika.
Maendeleo hayana vyama!