Katika hili Sakata nimegundua Hiphop kwa wa Tanzania siyo Uhalisia, haina issue na pia Waimbaji ni wanafiki

Katika hili Sakata nimegundua Hiphop kwa wa Tanzania siyo Uhalisia, haina issue na pia Waimbaji ni wanafiki

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Zamani nlikuwa namwona Fiq Q ni mmoja ya wasanii wanaojielewa....nlidhani kichwani ana akili. Fid Q kama upo humu. Kwa kweli nlikuwa namkubali sana..

Ila hili sakata la Steve Nyenyere limenishtua ni kunifanya nigundue kumbe hamna kitu kichwani. Yaani kwa Mistari ya Fid Q ilivyo ya kigumu ya Kibabe huwezi tegemea anaweza mui endorse Steve mtu ambaye si makini,kichwani mtu na hana alijualo katika Music.

Pi nimekuja kuona wana hip.hop wana tapata sana hasa huyu fid q ambaye hata Steve alimchana kuwa ni kwa vile music wake haupendwi sana.hana umaarufu. Hapo nlikuwa namsikilia Steve anaongea Fid Q yupo nyuma yake kama zezeta anatikisa kichwa. Yaani leo Fid Q anakuwa mfuasi wa Steve?
 
MKUU KUNA MAISHA BAADA YA MUZIKI, KILA MMOJA ANATETEA PALE PANAPOMPA UNAFUU WA UGALI.

AFU UNA UHAKIKA GANI KAMA FID Q MAYBE NDO YUKO SAHIHI KWA STEVE???
 
Mkuu mji mzito huu...mbona hayo ni machache kati ya mazito ya mji huu.

Ukija kuyasikia ya wote utajiona wewe pekee ndio huko sahihi tu.
 
Fid Q anaaamini ataunganishwa ili baadaye aje kugombea Ubunge. Haya ndo maneno ambayo anawaambia watu wake wa karibu. Kuwa sasa anaona siasa tu ndo itamtoa kama akina Mwana FA n.k
 
Baya lisilonidhuru ni jema lisilo na faida..
Teh teh teh teh teh....
 
Back
Top Bottom