LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Hawa ni Wanandoa ambao waliishi katika himaya ya Ottoman huko Uturuki katika miaka ya 1500
Rustem Pasha alifariki akiwa na miaka 61 na Mihrma Sultan mtoto wa Sultan The magnificent alifariki akiwa na miaka 56
[emoji116] Mihrma Sultan
[emoji116] Rustem Pasha
[emoji1][emoji1]
Sasa tukirudi kwenye ile Tamthilia yetu watu ambao mnadhania Hurrem Sultan atakwama kumuodhesha mwanae kwa Rustem kinguvu sahauni hilo, filamu hii inaenda sambamba na Historia ya kweli ya Himaya ya Ottoman ambayo watu wote walio kwenye ile tamthilia waliwahi kuwepo hivyo ni marudio ya Historia tu.
Historia ya Ottoman inatuambia kuwa Mihirma na Rustem waliishi kama wanandoa hadi kifo kilipowatenganisha............
Sent using Jamii Forums mobile app
Rustem Pasha alifariki akiwa na miaka 61 na Mihrma Sultan mtoto wa Sultan The magnificent alifariki akiwa na miaka 56
[emoji116] Mihrma Sultan
[emoji116] Rustem Pasha
[emoji1][emoji1]
Sasa tukirudi kwenye ile Tamthilia yetu watu ambao mnadhania Hurrem Sultan atakwama kumuodhesha mwanae kwa Rustem kinguvu sahauni hilo, filamu hii inaenda sambamba na Historia ya kweli ya Himaya ya Ottoman ambayo watu wote walio kwenye ile tamthilia waliwahi kuwepo hivyo ni marudio ya Historia tu.
Historia ya Ottoman inatuambia kuwa Mihirma na Rustem waliishi kama wanandoa hadi kifo kilipowatenganisha............
Sent using Jamii Forums mobile app