Katika katiba mpya napendekeza yafuatayo:-

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
674
1.SHERIA ZISIWE ZINATUNGWA NA WABUNGE ZIWE ZINATUNGA NA WANASHERIA WALIO BOBEA KATIKA SHERIA.

2. WAHITIMU WA VYUO, SERIKALI IWE NA UTARATIBU WA KUWATAFUTIA AJIRA! Ni hayo tu!
 
Mhhhhhh!!! Sheria zitatungwa vipi na wanasheria wakati hawakuchaguliwa na wananchi? Na Je, Haki yako ikichakachuliwa, unaenda kulalamika wapi? Je utarudi kulekule kwa wanasheria?
 
Mhhhhhh!!! Sheria zitatungwa vipi na wanasheria wakati hawakuchaguliwa na wananchi? Na Je, Haki yako ikichakachuliwa, unaenda kulalamika wapi? Je utarudi kulekule kwa wanasheria?

mkuu unapoteza muda wako hapa
 
Mhhhhhh!!! Sheria zitatungwa vipi na wanasheria wakati hawakuchaguliwa na wananchi? Na Je, Haki yako ikichakachuliwa, unaenda kulalamika wapi? Je utarudi kulekule kwa wanasheria?

MKUU! Baaadhi YA WABUNGE HAWANA UWELEDI NA SHERIA AMA HAWAFAHAMU KABISA NA MAMBO YA SHERIA, IWEJE LEO WATUTUNGIE SHERIA?
 
Mhhhhhh!!! Sheria zitatungwa vipi na wanasheria wakati hawakuchaguliwa na wananchi? Na Je, Haki yako ikichakachuliwa, unaenda kulalamika wapi? Je utarudi kulekule kwa wanasheria?

MKUU, HII HAINA TOFAUTI NA KWAMBA WABUNGE WAWE WALIMU! Maana BAADHI YA WABUNGE HAWANA UTAALAMU NA MAMBO YA SHERIA! mi NADHANI SHERIA INAVAMIWA SANA MAANA KUNA WATU WANA UWELEDI WA SHERIA NA HAWA WANAJUA KABISA SHERIA, HAYA SASA MBUNGE MAY BE KAMALIZA FORM FOUR NA HAKUFAULU VIZURI, THEN NDO ATUNGE
 
Sheria zinaandaliwa na wanasheria (Draft) kisha zinapitiwa na jopo la wataalam wa sheria kwa State Draftsman ns kufuata utarstibu wake na kuwa MUSWADA wa SHERIA ndio wanapelekewa wabunge kwa mjadala na kuipitisha baada ya kupata nafasi ya kupitia kifungu baada ya kifungu. Bunge likiridhika na kuipitisha itapelekwa kwa Rais ili aitie saini (ASSENT) na kuwa sheria baada ya kukamilisha mchakato wa Kanuni na kutangazwa kwake kwa Gazeti la Serikali. Wabunge wanatunga sheria INDIRECTLY isipokuwa kiuhalisia WANAPITSHA SHERIA.
 

Hapa nakukatalia kabisa, Mti Mbu. The modern state is already divided into 3 branches: legislature, Judiciary and Executive. Sasa ni nini kazi ya the judiciary katika nchi? Kazi yake kubwa ni kuinterpretes and applies the law kwa niaba ya Taifa. Hivyo basi, haiwezekani chombo kilekile ambacho jukumu lake ni kulinda sheria, halafu kipewe jukumu LA kutunga hizo sheria. Hapo itakuwa nikuvuruga utaratibu wa katiba ya nchi.
 

Sasa hiyo katiba au sheria zitakuwa zimetungwa na wabunge au wanasheria. Kazi ya kutunga sheria, Dunia mzima, hufanywa na wabunge. Wanasheria (Judiciary) kazi yako ni Ku interpretes and applies the law in the name of the state. Ni wapi umeona sheria zitungwe na taasisi fulani, na zisimamiwe na taasisi hiyohiyo? Where will be the oversight sword?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…