Nachinguru
Member
- Jul 7, 2016
- 24
- 5
Ktk katiba pendezwa spika na naibu wake wasitokane na wabunge wa kuteuliwa. Napendekeza watokane na Wabunge wa Majimbo au Wananchi waombe. Hili litaondowa dhana ya kulipa fadhila kama viongozi hawa watatokana na Wabunge teule. Changia tafadhali!!