Katika katiba pendezwa spika na naibu wake wasitokane na wabunge wa kuteuliwa

Nachinguru

Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
24
Reaction score
5
Ktk katiba pendezwa spika na naibu wake wasitokane na wabunge wa kuteuliwa. Napendekeza watokane na Wabunge wa Majimbo au Wananchi waombe. Hili litaondowa dhana ya kulipa fadhila kama viongozi hawa watatokana na Wabunge teule. Changia tafadhali!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…