Usitudanganye mkuu.Hakuna silaha ambayo Putin hajaitumia ndani ya Ukraine ukiondoka Nuclear, kwahiyo hautakuwa na jipya ni wakati wa raia wa Urusi kuonja joto ya Jiwe.
North Korea wamo ndani ya jimbo la Kursk ambalo limo ndani ya Russia. Huko mbele maeneo yananyakuliwa na wanajeshi wa Russia wenyewe.Ni uamuzi sahihi kwa muda muafaka baada ya Putin kuchukua maaskari kule North Korea na kuwaweka mstari wa mbele wa mapambano.
Tunasubiri ajibu kama ataamza kuishambulia US kama aliyotoa ONYO kabla
Unaweza ukaleta ushahidi wa Putin kusema NATO wakiingia Ukraine Putin atapiga nuclear!?NATO wanaisadia Ukraine lkn hawapo Ukraine na Putini kasema NATO wakiingia Ukraine atapiga nuklia,kama NATO wakiingia Ukraine urusi Haina kimbilio zaidi Nuclear Urusi haiwa
Hujielewi Putini mwenyewe anasema NATO wakiingia Ukraine atalipua nuklia,mpaka sasa hajapiga kwa sababu NATO hawajaingia Ukraine
Siku NATO wakiingia Ukraine Putini Hana la kufanya zaidi ya kukimbilia nuklia,Ukiona mtu unapigana naye ngumi anakimbilia panga ujue anajiona hakuwezi kwa ngumi,akili ya kuambiwa changanya na yakwako
Russia ana silaha zipi na hapo Russia katumia zipi?Hakuna silaha ambayo Putin hajaitumia ndani ya Ukraine ukiondoka Nuclear, kwahiyo hautakuwa na jipya ni wakati wa raia wa Urusi kuonja joto ya Jiwe.
Alishaongea tayari kama alivyoeleza huyo Zuwenna.We Zuena, hakuna kitu ambacho Putin hataki kitokee ni vita kati yake na NATO na ndiyo maana mpaka sasa hivi hajaongea lolote juu ya uamuzi wa US.
Huu ni muda ambao Korea Kusini inapaswa kutuma Ukraine msaada wa silaha na wanajeshi wa kwenda kudeal na askari wa Korea Kaskazini.Biden ameondoa marufuku kwa Ukraine kutumia makombora ya Marekani kushambulia ndani ya Urusi
Joe Biden ameiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Urusi kwa makombora ya masafa marefu ya Marekani.
Rais Biden ameidhinisha Ukraine kutumia silaha za masafa marefu zinazotolewa na Marekani ndani ya Urusi kwa mashambulizi machache, maafisa wa Marekani wamesema.
Ukraine inapanga kufanya mashambulizi yake ya kwanza ya masafa marefu katika siku zijazo, duru zilisema, bila kufichua maelezo kutokana na wasiwasi wa kiusalama.
Hatua hiyo ya Marekani inajiri baada ya miezi kadhaa ya ombi la Volodymyr Zelenskyy kuruhusu jeshi la Ukraine kutumia silaha za Marekani kushambulia maeneo ya kijeshi ya Urusi mbali na mpaka wake.
Mabadiliko hayo yanafuatia Urusi kupeleka wanajeshi wa nchi kavu wa Korea Kaskazini ili kuongeza vikosi vyake, jambo ambalo limezua taharuki mjini Washington na Kyiv.
Mashambulio ya kwanza ya kina huenda yakatekelezwa kwa kutumia roketi za ATACMS, ambazo zina masafa ya hadi maili 190, kulingana na vyanzo.
Kwa Mtazamo wangu nikwamba sasa hii vita inakuja kuwa vita ya ukanda ambayo italeta maafa makubwa sana labda na sema labda kwa rais mpya atakayeingia apige marufuku kuendelea kutumia Siraha za masafa marefu vinginevyo mambo yatakuwa magu sana!
View attachment 3155252
Mbona Urusi anatumia hadi za nchi nyingine?Ukraine kafungwa mikono nanani Ukraine atengeneze silaha zake uone kama atapangiwa na mtu
Katika nchi ambayo ukiitoa Poland ambazo zinalalamika sana juu ya Russia kwenye mapigano yake na Ukraine Lithuania nayo imo!washirika walikua wanasubiri US afanye kuruhusu tu nao wafuate UK FRA GER soon nao wataruhusu matumizi ya storm shadow. LITHUNIA nayo imeruhusu.
View attachment 3155310
Alinde mipaka yake na ku deal na watakaoivuka.Ulitaka wafanye vipi ndio ujue kama wanampangia yaani jirani yako anakuletea vibaka ili kuku dhuru unasema hawaja panga Russia aishije maisha anayoyaishi Russia kafundishwa na hao jirani zake
Hongera kwa uchambuzi wako wa kisia na kishabiki kuonyesha Putin ni muungwanaNorth Korea wamo ndani ya jimbo la Kursk ambalo limo ndani ya Russia. Huko mbele maeneo yananyakuliwa na wanajeshi wa Russia wenyewe.
Kama haufahamu viongozi wengi ndani ya Russia hawapendezwi na Putin jinsi anavyoiendesha hii anayoiita SMO dhidi ya Ukraine. Wengi wanataka waharibu kila kitu hapo Ukraine kama Israel anavyofanya Gaza.
Wametoa sababu zao kwa Putin kuwa kwa jinsi tunavyoenda na SMO ni ngumu kumaliza hili sakata. Inabidi tupige na tufanye jambo moja la kikatili litakalomfanya Ukraine asalimu mwenyewe amri kuliko wewe Putin unavyoilea.
Kuna kipindi Putin alienda kutembelea kambi moja ya jeshi nchini mwake moja ya maswali ambayo wanajeshi waliyokuwa wanamuuliza ni kipi kinamfanya asiruhusu jeshi la nchi lisitumie zana zote za jeshi walizonazo kama Ukraine na washirika wake wanavyopambana dhidi yao? Putin akatoa majibu anayoyajua mwenyewe ya kuonyesha uungwaana!
Ila yote juu ya yote wachambuzi wa masuala ya kivita wanasema ili Ukraine na west waache kuisumbua Russia pale Ukraine inambidi Russia ifanye maamuzi magumu ya nguvu yake ya kijeshi ili imlazimishe Ukraine asaini makubaliano mwenyewe ya amani. Mpaka sasa Russia katumia 18% za uwezo wake wa kijeshi.
Hatujui Russia atachukua maamuzi gani, wao wenyewe ndiyo wanajua ikiwa Ukraine ikianza kuitumia hiyo ruhusa waliyopatiwa.
Ananunua ukinunua kitu kinakua chakoMbona Urusi anatumia hadi za nchi nyingine?
Kaamua kukabiliana na hatari kabla haijaingia ndani na ndio njia sahihiAlinde mipaka yake na ku deal na watakaoivuka.
Na kadiri ya sheria za komataifa, taifa linapaswa kudhibiti jirani zake, hasa kufuatilitilia mienendo yake ya kijeshi.Ulitaka wafanye vipi ndio ujue kama wanampangia yaani jirani yako anakuletea vibaka ili kuku dhuru unasema hawaja panga Russia aishije maisha anayoyaishi Russia kafundishwa na hao jirani zake
Marehemu kwenye ubongo wako 😁Wayarushe kutokwa Poland au Romania, Poland na Romania ionje utamu wa Moto, ili dunia izidi kujua kuwa wazungu wa zama hizi hawana akili.
Hii vita imeyatisa mataifa mengi ya Ulaya, hata Democrats wanailaumu kushindwa kwao uchaguzi.
Anayekuambia jirani yako ni mbaya, mchokoze nitakupa silaha na ukakubali, wewe utakuwa 'marehemu' kwenye ubongo wako.
Hawa huwa wanachukua hata miezi mitatu toka uchaguzi.kwani trump anaapishwa lini
It's gotta be a two way traffic, kama Russia anavyowajibika kuishi vizuri na jirani zake na hao jirani zake pia wanawajibika kuishi vizuri na Russia.Russia anawajibika kuishi vizuri na majirani zake.
Yeah, ilikuwa ni moja ya masharti ya kuruhusiwa kujitenga na kuwa na taifa lao.Angeendelea kuwa nazo wasingepewa uhuru. Ukraine kwa namna yoyote ingeendelea kuwa sehemu ya Russia. Nasisitiza kwa namna yoyote.
Ni jirani yake yupi aliyevuka mpaka wake na kumvamia kama yeye afanyavyo?It's gotta be a two way traffic, kama Russia anavyowajibika kuishi vizuri na jirani zake na hao jirani zake pia wanawajibika kuishi vizuri na Russia.