Katika kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja, ningependa kuwaambia CRDB Bank kuwa wana huduma mbovu kwa wateja

Katika kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja, ningependa kuwaambia CRDB Bank kuwa wana huduma mbovu kwa wateja

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kwa hio mnataka kujifanya mmelemewa na wateja, aaah wapi, hii benki kimei aliondoka nayo na waliobaki ni wazinguaji tu.

Kama ukuu wenu ndio unawapa viburi tambueni akaunti zetu sio mikataba na ipo siku kuna benki kubwa itakuja nyingine na tutaondoka kama lile tangazo la hamia Airtel.

Mikopo watu wanasubiri hadi miezi mitatu, kupiga simu haipokelewi karibia wiki nzima, vidada kwenye benki zenu vina nyodo utafikiri vinacheza Bongo Movie.

You are simply becoming a scum.
 
Kwa hio mnataka kujifanya mmelemewa na wateja, aaah wapi, hii benki kimei aliondoka nayo na waliobaki ni wazinguaji tu.

Kama ukuu wenu ndio unawapa viburi tambueni akaunti zetu sio mikataba na ipo siku kuna benki kubwa itakuja nyingine na tutaondoka kama lile tangazo la hamia airtel.

Mikopo watu wanasubiri hadi miezi mitatu, kupiga simu haipokelewi karibia wiki nzima, vidada kwenye benki zenu vina nyodo utafikiri vinacheza bongo movie.

You are simply becoming a scum.
Nenda
Equity
 
Nasikia toka kimei atoke crdb hakuna kitu na mbaya zaidi huyo kimei hata kwenye jimbo lake hakuna anachofanya🤔🤔
 
Kimei nae kawa chawa😁
Wakienda huko wanageuka maboya

Sasa mtu kama kimei ni mtendaji mzuri sana

Ila jimbo lake limemshinda, why??

Hauwezi changanya kisomi na siasa

Yeye angebaki tu kwenye mashirika ayaboreshe
 
Wakienda huko wanageuka maboya

Sasa mtu kama kimei ni mtendaji mzuri sana

Ila jimbo lake limemshinda, why??

Hauwezi changanya kisomi na siasa

Yeye angebaki tu kwenye mashirika ayaboreshe
Yani ,ila alipita bila kupigwa nasikia🤔
 
Back
Top Bottom