NendaKwa hio mnataka kujifanya mmelemewa na wateja, aaah wapi, hii benki kimei aliondoka nayo na waliobaki ni wazinguaji tu.
Kama ukuu wenu ndio unawapa viburi tambueni akaunti zetu sio mikataba na ipo siku kuna benki kubwa itakuja nyingine na tutaondoka kama lile tangazo la hamia airtel.
Mikopo watu wanasubiri hadi miezi mitatu, kupiga simu haipokelewi karibia wiki nzima, vidada kwenye benki zenu vina nyodo utafikiri vinacheza bongo movie.
You are simply becoming a scum.
Ahhaha ni mabingwa wa matangazo ya kipumbavu pumbavu sasa kwenye huduma wanakuona kama kuku hiviNaunga mkono hoja pia waache kutuma tuma sms za matangazo ovyo. Mtu umekaa zako unasubitia muamala kwa hamu wao wanatuma masuala ya dubai mara Sgr
Kimei nae kawa chawa😁Ahhaha kwa hio vice versa ahha
Yani ,ila alipita bila kupigwa nasikia🤔Wakienda huko wanageuka maboya
Sasa mtu kama kimei ni mtendaji mzuri sana
Ila jimbo lake limemshinda, why??
Hauwezi changanya kisomi na siasa
Yeye angebaki tu kwenye mashirika ayaboreshe