LGE2024 Katika kubalance mambo tuonekane tuna demokrasia vyama vidogo vidogo vya upinzani vitashinda baadhi ya maeneo ila sio CHADEMA!

LGE2024 Katika kubalance mambo tuonekane tuna demokrasia vyama vidogo vidogo vya upinzani vitashinda baadhi ya maeneo ila sio CHADEMA!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mh Lissu alishaona hili toka wakati wa Uenguaji. Akasema uchaguzi umeshaisha na tumepigwa. Makosa ni yetu wenyewe sasa twendeni TUKAJIPANGE UPYA.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kama wanajiamini kiasi cha kuhamasisha Wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura basi waache hao wananchi wakachague chama wanachokitaka. kama ni wao watachaguliwa poa tu ila eti chama kidogo kisicho na hamasa kushinda hayo ni maajabu
 
Kuna maeneo utaona sijui chauma, UDA ,ACT n.k

Vinaweza kupewa baadhi ya vijiji au ubalozi..

Ili kufukia mashimo nchi ionekane ina demokrasia..
Ila once again CHADEMA poleni

Hii itakuwa zaidi ya 2020..
Mfanya maamuzi hayo ni nani?
 
Kuna maeneo utaona sijui chauma, UDA ,ACT n.k

Vinaweza kupewa baadhi ya vijiji au ubalozi..

Ili kufukia mashimo nchi ionekane ina demokrasia..
Ila once again CHADEMA poleni

Hii itakuwa zaidi ya 2020..
Uko sahihi, na mimi naamini cdm haihitaji viti vya kupewa maana uhalisia ni kuwa nguvu yao ni dhahiri. Anayepewa msaada ni asiye na uwezo, lakini mwenye uwezo ha hahitaji mbeleko ya yoyote.
 
wakifanya siasa za namna hiyo watakuwa wanadanganya wapumbavu, kamwe werevu hawadanganyika na upuuzi huo
Sahihi kabisa, cdm inakubalika bila hata kupewa upendeleo na yoyote.
 
Kuna maeneo utaona sijui chauma, UDA ,ACT n.k

Vinaweza kupewa baadhi ya vijiji au ubalozi..

Ili kufukia mashimo nchi ionekane ina demokrasia..
Ila once again CHADEMA poleni

Hii itakuwa zaidi ya 2020..
vyama vyenye umoja na mipango vitashinda uchaguzi,

ila vyama vilivyogawanyika na vinavyolumbana vitaishia kulalamika tu na kulaumiana gentleman :BASED:
 
Ila ondoa Ubalozi mkuu.
Tangu lini ubalozi nao unahusika kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa??

Ila ukiacha hiyo dosari, hoja yako ina mashiko makubwa sana.
 
Kuna maeneo utaona sijui chauma, UDA ,ACT n.k

Vinaweza kupewa baadhi ya vijiji au ubalozi..

Ili kufukia mashimo nchi ionekane ina demokrasia..
Ila once again CHADEMA poleni

Hii itakuwa zaidi ya 2020..
Tatizo CDM wamebaki peke yao. Wananchi bado hawajui wanataka nini!
 
Back
Top Bottom