Bless Hackerson Mg
Member
- Mar 3, 2013
- 30
- 4
Asante ndugu wanajamii wenzangu.
kwa jina naitwa bless mgongolwa, Nipo kidato cha 6 PCM katika shule ya secondary BENJAMIN WILIUM MKAPA, Katika kujitolea kuendeleza elimu ya tanzania Nimebuni TOVUTI inayoitwa VITABU TANZANIA yaani (Vitabu )ambayo itakuwa ina shughulika na kuweka MATILIO, MAKALA, MITIHANI, NA HADITHI MBALIMBALI KATIKA MTANDAO ILI WANAFUNZI NA WATU WA RIKA MBALIMBALI WAWEZE kujisomea na kudownload BUREE. Mimi kama kijana naitaji SUPPORT kubwa kutoka kwenu.
Ahsante.
Wenu katika kuendeleza elimu ya Tanzania
B.S.Mgongolwa
Endelea kutembelea WWW.vitabutanzania.com
kwa jina naitwa bless mgongolwa, Nipo kidato cha 6 PCM katika shule ya secondary BENJAMIN WILIUM MKAPA, Katika kujitolea kuendeleza elimu ya tanzania Nimebuni TOVUTI inayoitwa VITABU TANZANIA yaani (Vitabu )ambayo itakuwa ina shughulika na kuweka MATILIO, MAKALA, MITIHANI, NA HADITHI MBALIMBALI KATIKA MTANDAO ILI WANAFUNZI NA WATU WA RIKA MBALIMBALI WAWEZE kujisomea na kudownload BUREE. Mimi kama kijana naitaji SUPPORT kubwa kutoka kwenu.
Ahsante.
Wenu katika kuendeleza elimu ya Tanzania
B.S.Mgongolwa
Endelea kutembelea WWW.vitabutanzania.com