Weka jambo ambalo ukikumbuka tafakari yake inakurusisha nyuma sana Leo ukikumbuka unabaki na tabasamu /furaha /huzuni.
Mimi nakumbuka wakati im Coming from the cold (sina kitu) ilikuwa inaweza pita siku simu isilie. ..hamna mtu anayepiga.
Nikikumbuka natabasam. ..get money get honey.